Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Hivi ile mahakama ya mafisadi ilifia wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni utawala wa sheriaInashangaza sana, kwanini Rais anawaagiza makatibu wakuu na watendaji wakuu wahakikishe wanapitia ripoti na kuwawajibisha wale waliohusika na uzembe? yeye kama Rais anachukua hatua gani kwa hao wakuu waliosimamia huo uzembe?
Bado samia anakwepa zigo la kuonekana amewatumbua watu fulani hahaha! Shida anataka aonekane mwema papo hapo apambane na wabadhilifu……Inashangaza sana, kwanini Rais anawaagiza makatibu wakuu na watendaji wakuu wahakikishe wanapitia ripoti na kuwawajibisha wale waliohusika na uzembe? yeye kama Rais anachukua hatua gani kwa hao wakuu waliosimamia huo uzembe?
Rudia tena!Siyo kila hoja iliyoibuliwa na CAG ni ya ukweli hivyo zinahitaji uchunguzi na kutafutiwa majibu au maelezo sahihi!
Huko atakuwa halali usingiziKadogosa anafanya Nini ofisini mpaka muda huu?
Sio tuu kiuoga bali ni kukwepa kuwajibika au kuwajibisha watu sasa anamtupia mzigo katibu mkuu wakati report iko wazi ilibidi aagize watu wasimame kazi kwanza au mawaziri watoke….sasa sijui anaogopa nini?Hatua anazochukua ni za kiuoga.
Mkuu watanzania we achana nao sio wat7 wenye akili nzuri kila mda kulalamika.wamesema humu oooh mama hachukui hatua kwa wabadhilifu. Sasa kaanza kuchukua washaamisha magoli Tena. Dah akyamungu watanzania alieturoga kashakufa.Ungekuwa wewe ungefanyaje? Unazijua kazi na majukumu ya katibu mkuu kwenye wizard?
Duh watz wajuaji sana. Sasa hizi si ndio hatua zenyewe jamani ??? Mlitaka Whitwell wanyongwe bila hata kusikilizwa
Uwe na subira unakimbilia wapi...mbona unaongea Kama mzee wa fitina makazini huko..huu ni utawala wa sheria hawezi mtu kutumbuliwa tu bila kujiridhisha na kuhusika kwake kwenye ufisadi... mwingine ni waziri lakini alishitaki mwenendo mbaya wa taass au shirika ambalo lipo ndani ya wizara yake je unataka nae afukuzwe kwa kosa lipi?Dunia inavisa sana , huyu Rais, kama yeye ni muoga ,siatupishe .
Kwann Urais uwe mtamu Kwa fahari na ulaji ,lkn yeye mwenyewe mzembe na muoga ?.
Kwa kauli hiii inamaana Hawa Mawaziri waloguswa na CAG, wataendelea kudunda tu vizuri
Teh Teh kwa hiyo sasa mnataka kutuambia kumbe CAG huwa anaonea watu? Vipi CAG hakuonea watu kwenye report ya miaka miwili iliyopita?😂😂😂😂😂Kwani hizi anazochukua sio hatua? Kumbuka Rais Huwa hana mihemko na hataki kumuonea mtu.
Ukweli ukibainika wote wataondoka.
Duh.. Kama haya ndio mawazo yako kazi ipo.Safi sana, kama naona sukuma gang mnavyo umia kwa hatua kuchukuliwa
Ndiyo sababu taarifa hiyo imepelekwa bungeni ili ijadiliwe na pia watendaji wakuu wa sekta zilizotajwa waweze kutoa maelezo yao!Rudia tena!
Na bado raisi anaipokea taarifa isiyo ya kweli? Wewe ujue hivyo, mamlaka isijue chochote?
Kuwa serious basi!
HaaHuko atakuwa halali usingizi
Dah, yaani binadamu!!!!Sometimes uwe unatuliza kijambio
Ukisoma vizuri Ile barua wamekabidhiwa kwa vyombo husika[emoji23][emoji23][emoji23]Waliotenguliwa wanapata nafasi ya kutumbua mabilioni yao vizuri sasa!
Genge La Wahuni La TRCToka Maktaba :
17 February 2023
BODI MPYA YA WAKURUGENZI TRC, WATANZANIA WAWE WAVUMILIVU NA MRADI WA SGR
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Shirika la Reli Tanzania Prof. John Wajanga Kondoro akiwa na wajumbe wapya wa Bodi ya Wakurugenzi TRC waliotambulishwa Bw. Benjamini Adam Mbimbi, Bw. Kondo Abdalah Kibugula, Bw. Joseph Elias Salema, Bw. Juma Samhando Kijavara na Bw. Peter Mayunga Noni wakipata maelezo.