Rais Samia avunja Bodi ya TRC, atengua uteuzi wa Wakala wa Ndege za Serikali. Aagiza wabadhirifu washughulikiwe

Inashangaza sana, kwanini Rais anawaagiza makatibu wakuu na watendaji wakuu wahakikishe wanapitia ripoti na kuwawajibisha wale waliohusika na uzembe? yeye kama Rais anachukua hatua gani kwa hao wakuu waliosimamia huo uzembe?

Inashangaza sana.
Ripoti kaandikiwa yeye.
Kwenye ripoti maafisa masuhuli / makatibu wakuu,ma ras. Na ceos wengi ndio wanatajwa kuboronga.
Mama unatakiwa uanze na hao makatibu wakuu , hapo ni sawa na kesi ya nyani unampa ngedere
 
Katibu mkuu/mtendaji mkuu wa taasisi,idara na wakala wa serikali ndio maafisa masuuli na ndio wajibu hoja wakuu wa taarifa ya CAG
 
Safi sana mh.rais hii ndio watanzania wengi walikuwa wanaisubili kwa hamu na nina imani wezi wote watafikishwa mahakamani,pia tunahitaji katiba mpya itayoweka bayana kuwa mwizi wa mali za umma atashughulikiwa vilivyo.
 
 
Katika serikali makatibu wakuu ndio watendaji wakuu wa wizara, in short mawazir wao ni walezi au wasimamizi lakin sio wataalam kitaaluma katika wizara zao, mikataba yote kabla haijasainiwa na wizara husik lazm ipite kwanza, kwanza kwanza kwa hao makatibu wakuu, , hivo wawajibishwe kwanza na kama kuna namn walishirikiana na mawaziri wao bhas nao pia watafata
 
Ni hatua ya kutia moyo.

CORRUPT COUNTRY NEVER DEVELOP!
 
Ni mjinga tu anaewaza mambo kwa mgongo wa UDINI...
 

Tulishawaambia kuwa alikuwa anabweka tu kuwaita watu "STUPID" kwani hana ubavu wa kuwachukulia hatua stahiki!! Kuna fedha chungu nzima zimeibwa kwenye malipo ya bwawa la Nyerere lakini mama yuko kimyaa kwasababu ya mbuzi wake wa kufugwa!! Hizo hizo fedha ndio wamenunulia nyumba huko DUBAI lakini TISS wamefumba macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…