Mtuturas
JF-Expert Member
- Apr 18, 2017
- 456
- 867
Inashangaza sana, kwanini Rais anawaagiza makatibu wakuu na watendaji wakuu wahakikishe wanapitia ripoti na kuwawajibisha wale waliohusika na uzembe? yeye kama Rais anachukua hatua gani kwa hao wakuu waliosimamia huo uzembe?
Inashangaza sana.
Ripoti kaandikiwa yeye.
Kwenye ripoti maafisa masuhuli / makatibu wakuu,ma ras. Na ceos wengi ndio wanatajwa kuboronga.
Mama unatakiwa uanze na hao makatibu wakuu , hapo ni sawa na kesi ya nyani unampa ngedere