misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Kachemka wakati akiwa na mamlaka kamili ya kuwajibisha ila kawapa wakajikague na kujitolea hukumu.
Ukiona rais anakwepa majukumu yake basi waziri wa fedha alikuwa sahihi kutoa ile kauli kule bungeni.
Wana buy time, wameona mijadala imepamba moto, kwaiyo njia ya kupunguza mijadala ndio huo aliokuja nao.
Ukiona rais anakwepa majukumu yake basi waziri wa fedha alikuwa sahihi kutoa ile kauli kule bungeni.
Wana buy time, wameona mijadala imepamba moto, kwaiyo njia ya kupunguza mijadala ndio huo aliokuja nao.