Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Prof Mark Mwandosya ana umri mkubwa kuliko yeye, lakini anatumia mitandao kila siku.
Hivi wale ndugu zake Prof Mwandosya waliokuwa wanakufa kwa Covid wakati wa Magufuli wameisha? Maana naona tangu JPM afariki na ndugu zake nao wamekoma kufa kwa Corona.