omtiti
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 1,022
- 1,591
Mwandosya mnafiki sanaHivi wale ndugu zake Prof Mwandosya waliokuwa wanakufa kwa Covid wakati wa Magufuli wameisha? Maana naona tangu JPM afariki na ndugu zake nao wamekoma kufa kwa Corona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwandosya mnafiki sanaHivi wale ndugu zake Prof Mwandosya waliokuwa wanakufa kwa Covid wakati wa Magufuli wameisha? Maana naona tangu JPM afariki na ndugu zake nao wamekoma kufa kwa Corona.
Nimeshaacha brother.Acha sifa za Kihaya!
U gay what?
Hao ni akina Salary Slip , Retired , brazaj na michadema yote"Hawa watu wakifikiria tu vitu vichwani mwao,wanaandika",amesema Mama Samia. Wanamtaka kuwaaminisha mambo mengine ambayo siyo ya kweli.
Wanawalinganisha Magufuli na Samia. Kwa nini? Samia na Magufuli ni kitu kimoja. Ni kitu kimoja? We hope not. Kwa sababu hii ni Awamu mpya na wananchi wanataka kuona mambo mapya. Awamu ya Sita ni Awamu Mpya. Kwa nini ifanane na Awamu ya zamani?
Rais Samia amesema,"
Tusitazame mbele kwa hofu. "Tusitazame nyuma kwa huzuni. Tujali ya sasa".
That seems like good advice.
Kumbe huu Uchafu ni wa kihaya?Acha sifa za Kihaya!