Rais Samia awaasa viongozi wa dini, "Simameni tuwapige vita wazandiki katika mitandao ya kijamii"

Hivi wale ndugu zake Prof Mwandosya waliokuwa wanakufa kwa Covid wakati wa Magufuli wameisha? Maana naona tangu JPM afariki na ndugu zake nao wamekoma kufa kwa Corona.
Mwandosya mnafiki sana
 
Hao ni akina Salary Slip , Retired , brazaj na michadema yote
 
Kwanini hajasema huko mitaani watu wakifikiria tu vitu vichwani mwao wanaongea? asilimia kubwa mambo ya mitandaoni huishiaga mitandaoni tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…