Rais Samia awainua Mbowe na Lipumba kwenye baraza la Eid, amsifia Mbowe kupendeza kwa kanzu

Idd ul MUBARRAK ustadh ABOUBAKAR MBOWE[emoji1488]

#SiempreJMT
#MamaKaja
 
Hakika
 
Why wewe usilete upinzani huo unaousema?,why umtegemee Mr. Mbowe akupiganie wewe?,acha uoga wa kizuzu pigana mwenyewe kudai haki yako kama unaona unaonewa
Kila mapambano Kuna kiongozi..hii Ni kanuni toka enzi za kale..
Lakini nakubaliana na wewe kwenye Jambo moja..Mbowe kapambana Sana..tumuache nae apumzike..tumuache apate kifuta jasho kutoka kwa madame president..
 
Nakubali Mbowe aliteseka Sana.. lakini unafikiri Mbowe ameteseka kuliko Mandela madiba..?
Mbowe amekata tamaa mapema Sana..lakini tumuache apate kifuta jasho..
Tukubali tunaelekea kwenye siasa za kipuuzi Sana..yaani wapinzani wanazidiwa hata Mpina wa ccm anakomaa na kina Mwigulu.. lakini wapinzani wanapishana Ikulu kula futali !
 
Namshauri Mbowe aachane na hizi siasa za kujikomba maana anapoteza haiba ya CDM. Hii approach ya Mbowe inaifaidisha zaidi CCM kuliko CDM.
Mbowe kapoteza pambano kirahisi Sana..kawa mtu wa kwenda Ikulu kula futali..
 
Kwa kweli Kama mwana CDM Sina imani na Mbowe kabisa. Anajichoresha Sana kwa CCM. Ataje siku ya kuondoka madarakani kabisa. Mbowe must go, mbowe
 
Mandela alikuwa na watu walioleta shinikizo! Mbowe kapoteza Kila kitu na mwisho watu wakamkimbia.
Tatizo lipo kwa wabongo!
Wapole wapole na hawawezi kusimamia haki zao!!
 
C
Kwa kweli Kama mwana CDM Sina imani na Mbowe kabisa. Anajichoresha Sana kwa CCM. Ataje siku ya kuondoka madarakani kabisa. Mbowe must go, mbowe
Ccm mnahangaikaaaa..ccm mpende mdipende mbowe bado yupo sana, mpaka ukombozi upatikane.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Mbowe na mwenzake Prof. Lipumba wa CUF wamekutanishwa na Baraza la Eid na kusahau yaliyopita ili wagange yajayo.

Siku za karibuni Prof. Lipumba amekuwa akiiponda sana CHADEMA lakini leo wameanza ukurasa mpya.

Ishukuriwe BAKWATA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…