Rais Samia awakana machawa, asema yeye hana makundi

Bado hujasema πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
Ile minyuzi yako ya mapambio yalikuwa yanamsifia nani??
Mtumishi na kwaresima hii unaongea uongo 😜
πŸ˜€ apa sasa labda ndio nimecheka...

mapambio?
mapambio gani tena mimi niliimba wap mtumishi....

kwaeresma tutang"ang"ana nayo kwa makini sana na kwa Neema na baraka za Mungu ndio tumalize tukiwa wamoja kana tulivyo anza...

nawatakia kila lililo jema na hata ndugu zetu amabao wameanza lifunga jana....
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ila mtumishi mkavu wewe!!
Wewe na mwenzio Luka si ndio kila kukicha mnamsifia mama kizimkazi humu??
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ila mtumishi mkavu wewe!!
Wewe na mwenzio Luka si ndio kila kukicha mnamsifia mama kizimkazi humu??
kwani mtumish ulitamani niwe na unyevu unyevu au nimelowana...

address and face me plz, but with issues, mengine na wengine utawoanea bure tu....

lakini pia mtu kiongozi ama hata kama si kiongozi akifanya vema, nadhani ni vizuri kumpongeza na kumsifia ili afanye vizuri zaid...

ni nin mbaya apo....
 
"wenxangu"


Kwa uandishi huu[emoji3516][emoji3516] bado unasafari ndefu
 
Hivi wakuu wa mikoa wana kazi gani?
 
Msimwamini Kizimkazi!
 
QEENS OF SAMIA
 
Huku mtaani maisha ni tight Raia hawataki hata kusikia hizo habari.

Yeye aendelee tu na hao chawa wanaomdanganya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…