Rais Samia: Awamu ya 5 heshima iliyokuzwa ni ya uoga kwa sababu kulikuwa na Simba wa Yuda, ukimgusa sharubu anakurarua, hatukukua kivile

Hakupendwa wacha watu wateme nyongo
 
Kila mtu atakufa Samia, wewe hata hujui siku yako. Hakika utakufa
 
Mm nilimchukia Kwa kunyima watu UHURU WA KUISHI
 
Mh Mungu-prof kabudi 2020

Yesu-ndugai 2021

Simba wa Yuda-samia 2022

Kama mnadhani haya yanawatoka kwa bahati mbaya,acheni niwakumbushe Magufuli alikuwa mkombozi,ila vichwa panzi hawataelewa.
 
Mama anachemka sana, anaropoka ropoka tu. Hivi kweli Mwafrika yupi mwenye nidhamu ya kutoka moyoni kama siyo uoga? Kazi ya sheria ni ipi kama siyo kuwafanya watu waogope kutenda makosa wakijua sheria itawahukumu? Tumepata Rais boya kabisa na asubiri hiyo nidhamu ya kutoka moyoni ya watumishi wa umma kama ataiona
 
watu walijengwa kwenye nidhamu ya woga, unafiki mwingi. Wanadamu timamu hatutakiwi kuishi hivyo. Maza katoa fact sio suala la ku out smart


YESU NI MWOKOZI

Wapuuzi nyinyi

Nchi zetu hizi za kiafrica bila watendaji na watumishi kuwapelekea moto watafanya kazi kwa weledi!??

TRA wenyewe kila kukicha wapo Kariakoo kutishia wafanyabiashara kwamba watafunga maduka yao wasipolipa kodi
 
Matendo yako yakiwa mazuri utaendelea kusiwa hata kama ulishakufa,lakini kama matendo yako yalikuwa mabaya utaendelea kubezwa hata kama ulishakufa.

Kumbuka Nyerere,Karume,Sokoine,Mandela,Kaunda,Nkrumah,Samora hao bado wanaimbwa kama mashujaa wa Afrika,lakini Idd Amin,Mabuto,Chiluba,Magufuri matendo yao yataendelea kuwahukumu.
 
Awali alisema Yeye na JPM ni kitu kimoja,, tusitegemee mabadiliko..

Leo anasema awamu ilikuwa na Simba wa Yuda,, ukigusa sharubu anakurarua...

Kwahyo ana maana sasa hvi unaweza tu kuchezea sharubu halafu fresh,,, ilimradi unakula kwa urefu wa kamba yako
 
At the end of the day, huyu mama alikuwa anafanya kazi na Meko so anajua kila kitu kuhusu ukweli wa mambo yalivyokuwa, soon tutajua aliyewaua akina Azory na Ben Saanane.

Mama hataki kubeba dhambi za mtu, kila mtu auchukue mzigo wake mwenyewe na atoe habari zake mwenyewe mbele za Mungu.

Ila Meko alijua kuwafool wajinga wajinga yani dah , he was such a jerk.
 
Mdogomdogo watamtaja mpaka alyewatuma wasiojulikana kumpiga lissu risasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…