Rais Samia: Awamu ya 5 heshima iliyokuzwa ni ya uoga kwa sababu kulikuwa na Simba wa Yuda, ukimgusa sharubu anakurarua, hatukukua kivile

Nidhamu ya woga afadhali kuliko uhuru wa kuiba.
 
Nna moyo na maono ya Magufuli,thus why uwa namuheshimu always,na nikipata chance nitaendeleza alipoishia.

Asante.
Hii nchi kupewa Msukuma au mwenye vinasaba vya huyo bedui anayeungua sasa hivi huko Jehanum msahau
 
Namna panya Road wanavyorejea Mtaani, majambazi yanayotumia siraha, meno ya tembo yatavyoondoka na tembo wetu, ndivyo tutakapojua nguvu ya simba
 
màgufool lugha pekee aliyokuwa akiifahamu ni kuua,kufilisi & kuweka gerezani
 
Saizi ukiwa na shida Kwenye ofisi ya umma chamoto utakiona
 
sasa anamtukana mtu aliyempa Urais

Kumchagua mtu usiyemjua kuwa your potential successor was such a fat-headed blunder
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…