Naamini tasisi imeona utendaji waoWadau Hayati RAIS MAGUFULI Aliwaondoa Makazini WATUMISHI wote WalioGHUSHI Vyeti na Nyaraka mbalimbali.
Kitendo cha Kughushi CHETI au NYARAKA yoyote ni KOSA la JINAI
Inakuwaje SERIKALI inawarudisha Makazini WATUMISHI waliotenda huo UHARIFU?
Nilitarajia kama WAHARIFU WENGINE Wangeshtakiwa na Kuwafikisha MAHAKAMAMI sio MAKAZINI
Kazi na iendelee!Ni wazi kabisa mtu akifoji kitu official huyu ni mualifu na adhabu yake inaweza kuwa kifungo mpaka miaka7.
Hamna kitu kinasikitisha kama mtu unahangaike kusoma kwa bidii pamoja na changamoto zote unakomaa, halafu ajira aje kupewa mtu ambaye kaamua kutumia shortcut ya kufoji vyeti, hii haiko sawa.
Kama nimemuelewa vzr Waziri ni kwamba wanaorudishwa kazini niwale walioondolewa kazini kwa kutokuwa na elimu ya kidato cha nne na sasa wameshajiendeleza na sio wale 12,000 waliogushi vyeti.Ni wazi kabisa mtu akifoji kitu official huyu ni mualifu na adhabu yake inaweza kuwa kifungo mpaka miaka7.
Hamna kitu kinasikitisha kama mtu unahangaike kusoma kwa bidii pamoja na changamoto zote unakomaa, halafu ajira aje kupewa mtu ambaye kaamua kutumia shortcut ya kufoji vyeti, hii haiko sawa.
Kwani Mungu aliumba kuku au yai?Utadhani hakuwa kwenye hiyo serikali.
Ipo siku Rais mwingine anaetokana na CCM, atakuja kumuomba radhi Mbowe kwa kesi ya kusingiziwa, na pengine kumlipa fidia, na CCM hawa hawa wanafurahia Mbowe kuwekwa ndani, watampongeza huyo Rais.
Kuwaelewa CCM na akili zao, ni vigumu kama ilivyo vigumu kujua Mungu alitoka wapi au kati ya yai na kuku, kipi kilianza.
Anyway, awalipe fidia na wale waliobomolewa nyumba zao maeneo ya Kimara wakati wa Mwendazake.
Graduate wengi wa siku Hz ndo feki,wengi wanakalili content tu,ili wajibu mitihani, competence ni zero.Ipo siku fedha bandia itakuwa halali
Weka majina Yao tuone Kama kweli wamerudishwaSafi
Hizo nafasi wangepewa vijana wapyaHalafu mtu aseme mama Samia ni mbaya
Ni wazi kabisa mtu akifoji kitu official huyu ni mualifu na adhabu yake inaweza kuwa kifungo mpaka miaka7.
Hamna kitu kinasikitisha kama mtu unahangaike kusoma kwa bidii pamoja na changamoto zote unakomaa, halafu ajira aje kupewa mtu ambaye kaamua kutumia shortcut ya kufoji vyeti, hii haiko sawa.
Nilitegemea Hawa watu wawe mfano wa onyo la kughushi vyeti lakini ndio kwanza wanarudishwa kazini, ni sawa na mtu aliefungiwa account yake benki alipokamatwa akingiza noti feki ila sasa anasamehewa na zile noti feki zinahesabiwa kuwa orijino.
Vijana kibao wapo mitaani wamesoma kwa shida ili kumaliza degree / masters, kiukweli hawatendewi haki hawa vijana, Binafsi sikuwa fan wa magufuli lakini kuna mambo machache sana aliyoyafanya nilikuwa upande wake likiwemo hili swala la kuchomoa wanao ghushi vyeti,
Serikali kupitia Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora imetangaza kuwarejesha kazini Wafanyakazi zaidi ya elfu nne (4000+) ambao waliondolewa kazini kutokana na kugushi vyeti katika maeneo mbalimbali lakini sasa kwa huruma ya Rais Samia watarejeshwa kazini kwa sharti la kuwa wawe wamejiendeleza kielimu.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora Mohamed Mchengerwa amesema "wale walioweza kujiendeleza ambao ni zaidi ya 4100 tayari wamerejeshwa kazini, pia tunao Watumishi 1150 ambao hawakufanikiwa kujiendeleza maana yake hawana sifa za kutosha kuendelea kuitumikia Serikali japo walikua ni Watendaji wazuri”
Rais Samia alishatuagiza kwamba hawa 1150 kutokana na utendaji wao uliotukuka Watumishi hao wote walipwe haki zao na stahiki zao kama vile wapo kazini kwahiyo watalipwa"
Kuna baadhi ya wafanyakazi hawakughushi kabisa, kosa lao walikuwa wamefika darasa la saba na baadae wakaendelea kupata vyeti vya (mfano) udereva kwa madaraja tafauti. Hivi vyeti vya udereva vilikuwa sahihi siyo feki, sasa hapo unawaondoa nini?Wadau Hayati RAIS MAGUFULI Aliwaondoa Makazini WATUMISHI wote WalioGHUSHI Vyeti na Nyaraka mbalimbali.
Kitendo cha Kughushi CHETI au NYARAKA yoyote ni KOSA la JINAI
Inakuwaje SERIKALI inawarudisha Makazini WATUMISHI waliotenda huo UHARIFU?
Nilitarajia kama WAHARIFU WENGINE Wangeshtakiwa na Kuwafikisha MAHAKAMAMI sio MAKAZINI