Tatizo inaonekana zoezi liliendeshwa bila haki, sina hata uhakika kama walioachishwa walipewa nafasi ya kujitetea, nina uhakika kuna watu wengi walionewa tuu maana records zetu ni za kuunga unga tu,
kama imegundulika kuna walioonewa na hakuna namna ya kufanya verifications 100%, rudisha wote kazini zoezi lianze upya, na hata kama walifoji kulikuwa hakuna haja ya kumfukuza dereva au tarishi kwa kufoji cheti cha form four (ubinadamu kidogo), tuanze kujenga mifumo yetu vizuri kuzuia haya matatizo
kama imegundulika kuna walioonewa na hakuna namna ya kufanya verifications 100%, rudisha wote kazini zoezi lianze upya, na hata kama walifoji kulikuwa hakuna haja ya kumfukuza dereva au tarishi kwa kufoji cheti cha form four (ubinadamu kidogo), tuanze kujenga mifumo yetu vizuri kuzuia haya matatizo