Rais Samia awarejesha kazini Watumishi zaidi ya elfu nne (4,000+) walioondolewa kipindi cha Magufuli kwa madai ya kugushi vyeti

Wamerejeshwa wale waliojiendeleza kielimu.
 
Iwarudishe wote waliofukuzwa ule ni uonevu
 
Wale watu walionewa pure and simple, huwezi fukuza mtu kazi amefanya kazi miaka 20 eti umwambie huna elimu, sijui ulirudia darasa la saba kwa jina jingine, kilichotakiwa na kuweka mfumo wa kufanya hayo makosa yasijirudie, sio kufukuza kazi mtu kabakiza miaka 2 kustaafu,
Tatizo wabongo ni wanafiki hatuna jema, hili nalo mtakosoa utafikiri hizo nafasi 4000 ndo zimechukua nafasi zote za graduates,
Juzi tu zimetoka nafasi lukuki, polisi, pccb, Tra,, Mbona enzi za zamani ajira zilisita kabisa na midomo watu walifunga yaani, [emoji16][emoji16]
 
Nadhan ni wakat muafaka kwa sasa kuwalipa fidia wavuvi waliochomewa nyavu zao za mamilioni na kusukumizwa kwenye umaskini na hata wengine kupoteza maisha kwa stress. Hawa ni wale waliokuwa wamenunua nyavu zao kutoka maduka ya hapa nchini na kupewa rist halali za malipo,lkn ghafla nyavu hizo hizo kuonekana ni haramu na watu kuanza kusakwa kila kona,kuchomwa moto na kupigwa faini kubwakubwa....eti "uvuvi haramu".
Mama ukimalzana na hao feki,wageukiye na hao ndg zetu
 
Iwarudishe wote waliofukuzwa ule ni uonevu
Ndio walio karibia kustafuu wapewe haki zao huo ni uonevu mama au baba maisha yake yote kafanya kazi serikarin leo unamtoa hata shi 10 hakuna du dhambi kati ya dhambi magu kafanya ni hiyo uonevu sana
 
Makonda nae karudishwa nasikia
 
Ye mwenyewe angekuwa na vyeti halisi ben asingepotea
 
Kama nimemuelewa vzr Waziri ni kwamba wanaorudishwa kazini niwale walioondolewa kazini kwa kutokuwa na elimu ya kidato cha nne na sasa wameshajiendeleza na sio wale 12,000 waliogushi vyeti.
Na ndo ilivyo Sasa sijui nani anaeneza huu uongo? Itabidi serikali iwaeleshe watu, walioruhusiwa kurudi ni wale darasa la Saba tena wengi walikuwa madereva na kweli walikuwa wanajiendeleza na walianza kurudishwa tangu JPM yupo na siyo vyeti feki.
 
Nanyie muelewe , waliorudhishwa ni wale ndugu au wapenzi wa CCM kindkindaki..Magufuri aliambiwa hao awaache akawambishi..Sasa ili kutoshambuliwa na wananchi..ndo wamekuja na gear yakiwa hao wamejiendeleza.
Thanks
 
Tunaomba Machinga pia waachwe maana nchi yetu hatutaki kufuata sheria
 
Hawa watalipwa mishahara yote pamoja na posho za usumbufu kwa kipindi chote walichokuwa mtaani. Hongera CCM mna tengeneza tatizo then mnalitubu afu mnaomba credit kwa wananchi.
Upuuuzi mtupu hawa ccm wafe wote itakuwa afadhali kuliko kuwa nao waliopo ssa
 
Duu ina maana wamejiendeleza kuanzia march mwaka huu hadi leo November? ina maana walifanya mitihani wapi na lini? hahahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…