Enzi za nyerere kununua jina na kurudia darasa la saba kwa jina la mtu ilikuwa kawaida kwani mfumo ulikuwa hauruhusu mtu kujiendeleza kivingine iwapo utafeli darasa la saba,, ilikua either uwe mwalimu wa UPE au uapply kwenda polisi, sasa kwa mtu mwenye ndoto kubwa, labda kuwa doctor, injinia, meneja, mkurugenzi, etc, walipofeli la saba, option iliyobaki ilikuwa kununua jina na kurudia shule,, hapakuwa na shule nyingi za private eti mtu angeweza kujiunga na kuendelea na masomo ya sekondari,
Tatizo lilikuwa la kimfumo zaidi,, miaka ya sasa mtu hawezi kutumia jina la mtu, wakati kuna options nyingi mno,,
So SSH kuamua hao warudi kazini ni Reasonable na ubinaadamu pia,,