Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh !Kodi zetu zitakoma safari hii
Umesahau ya kwamba safari zote za nje alikuwa akimuwakilisha JPMMuacheni mama ajimwaye mwaye huko uarabuni maana alibanwa sana na bwana hayati
Kodi gani bana mbongo anatoaga acha hizo. Sema hela za wafadhili na wahisani zitakoma safari hii.Kodi zetu zitakoma safari hii
Safi sana tunahitaji Rais mcha Mungu kwa kauli na vitendo
Ziara ya siku tatu imezaa bonasi.Picha na maelezo vinajieleza. Kongole mtukufu Rais ibada muhimu.
Mitaa ya huko ndiko mtume yuko.Kumcha Mungu ni kwenda huko? Kwani huko kaenda kwakuwa ni mcha Mungu au kwakuwa halipi nauli yake toka mfukoni?
Nafasi ndiyo hii! Eti, nafasi unayo, Wanadamu hawana shukrani,maisha yenyewe mafupi! eti pumzika yako, CHAAATOOO!Muacheni mama ajimwaye mwaye huko uarabuni maana alibanwa sana na bwana hayati