haina haja ya ushahidi mwenye macho haonyweshiUnaushahidi wa hayo unayozungumza?🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haina haja ya ushahidi mwenye macho haonyweshiUnaushahidi wa hayo unayozungumza?🤔
Kwa hiyo binadamu hajatokana na udongo?🤔haina haja ya ushahidi mwenye macho haonyweshi
Uhakika asilimia miamoja.Unauhakika ulitoka kwa udongo?. Unavithibitisho vya kueleweka kuhusu hiyo kauli yako?🤔
tope sio udongoKwa hiyo binadamu hajatokana na udongo?🤔
Vithibitisho vyaketope sio udongo
Umrah ni hijja ndogoUmrah na kuhiji/hija ni ibada mbili tofauti,
Ndio maana heading yako umeandika kaenda kuhiji ila source ya hiyo habari imesema ameenda umrah,
Muda wa kuhiji ni bado,Hija ina muda wake maalum na mpaka muda huo ufike,So kwasasa hakuna ibada ya hija bali ni ibada ya umra.
Ni vizuri, nimependa kuwa na rais mcha Mungu. Tunapata baraka sote kwa maombi ya Rais kwa nchi yetu. Mungu akuongoze mheshimiwa Rais wetu, mama Samia.
Acha ubaguzi wewe mjinga, unalipa kodi gani wewe? Hiyo kwenda ibada au kutembea ni moja ya privilege ya kuwa rais wa nchi. Wewe endelea kulia lia tu. Umebanwa na wivu hadi unataka kupasuka.Kodi zetu zitakoma safari hii
Tunatakiwa kufikiri vile tu vipo ndani ya uwezo wetu wa kufikiri, maana ukianza kuchunguza sana binadamu alianza anzaje huwezi kupata majibu sahihi, kama vile hata Hao wanasayansi wameshindwa kabisa kuja na uhalisia wa vipi binaadamu alivyopatikana !! Wanababaisha babaisha tu!! Hata virusi vya corona tu vinawasumbua mpaka Leo na vitaendelea kuwasumbua !! Kwahiyo kwa sababu akili ya mwanadamu inapata angalau utulivu kidogo ikijua kuwa yupo Mfalme wa Wafalme wote mwenye uwezo unaoweza na ambao hauwezwi na kitu chochote hapa duniani na mbinguni ndiyo maana inatubidi tuamini sisi ni mavumbi tu na tutarudi mavumbini !!Unauhakika ulitoka kwa udongo?. Unavithibitisho vya kueleweka kuhusu hiyo kauli yako?🤔
Midamu ilishindikana amirata nayo haijatty haitawezekana. Binadamu ni viumbe wanafiki mno.Amekua Alhaj Rais Samia
Vyote ! Kwani uliambiwa Tanzania Inamfunga mtu kutekeleza iman ya dini yake achen uchochezAmeenda Kuhiji kama Muumini ama kama Rais?
Na hata angetaka kwenda kwa nauli yake hashindwiAchana na nongwa hizi mkuu Tindo, huyo ni rais wa tano wa JMT na ana haki zote kwa mujibu wa mamlaka aliyonayo.
Mama hapo kwenye kiatu yuko njema. Leo sijaona macho.
Ana haki zote za kutekeleza dini yake, hapo hajakosea lolote. Hata marais wakristo walikuwa wakienda ziara ndani na nje ya nchi wanasindikizwa kanisani kwa protocol zilezile zinazoendana na madaraka yao. Akiingia ibadani anakuwa muumini kama wengine.Vyote ! Kwani uliambiwa Tanzania Inamfunga mtu kutekeleza iman ya dini yake achen uchochez
Siyo kuhiji ni kwenda Umra, vitu tafauti.Ameenda Kuhiji kama Muumini ama kama Rais?
Hiyo Ndege ikirudi wewe unataka kwenda nayo wapi? Au furaha yako ni kuiona imepaki yadi?Kama maswala ya kikazi yameisha si arudishe ndege nyumbani?