Rais Samia awasili kwa Jeddah kuhiji

Rais Samia awasili kwa Jeddah kuhiji

Afadhali mama Atumie kodi Kwenye Ibada nchi Ibarikiwe,Wengine walikuwa wanatumia kuhonga mashangingi,Kula bia Nchi Ilikuwa inaingia kwenye Laana kubwa!!
Hii sio nchi ya kidini yenye kusubiri vitu vya kipumbavu ambavyo wewe unaviita baraka vinavyo endelea kuzalisha watu wavivu bali hii inchi itajengwa kwa kufanya kazii kwa bidii na sio kusubiri vitu vya kijinga vinavyoitwa baraka ili iweze kuendelea
 
Rais wetu mama Samia ni mtu wa Mungu, sio mnafiki kama walivyo baadhi ya viongozi, ni mtu mwenye hofu ya mungu, asiye penda kuonea watu wengine.
Mungu ambariki katika Ibada yake takatifu.
Ulikutanana na MUNGU akakuambia hayo kuhusu Mama Samia?🤔
 
Umrah na kuhiji/hija ni ibada mbili tofauti,

Ndio maana heading yako umeandika kaenda kuhiji ila source ya hiyo habari imesema ameenda umrah,

Muda wa kuhiji ni bado,Hija ina muda wake maalum na mpaka muda huo ufike,So kwasasa hakuna ibada ya hija bali ni ibada ya umra.
 
Hili swala la kutakaswa Kiroho alilofanya ambalo ni la kiibada ni muhimu sana, na Mwenyezi Mungu aendelee kumbariki! kaenda sehemu takatifu, chonde tisibeze hili maana ndugu zetu waislamu wanaelewa umuhimu wa hili.
Kwani hapa Tanzania sio sehemu Takatifu?🤔
 
ninavyojua ili upate hijja safi ipokelewe inatakiwa mja uende kule kwa kutumia pesa ya halali ya jasho lako mfano mshahara wako au faida ya business kama wewe ni mfanyabiashara. Tena kabla hujaenda inatakiwa ndugu zako kusiwe na mwenye njaa!

Sasa kwa hili la Bimkubwa sidhani kama kidini yuko sahihi kutumia kodi na ndege za wabongo bila ridhaa yao tena wengine wanashinda njaa eti kwenda hijja

. Naamini ilitakiwa Vasco da Gama akistaafu ndo aende hijja kwa pesa ya mfukoni mwake maana siamini kama raia wako radhi nae kuchezea kodi zao kwa masuala binafsi ! Ninavyojua kuna watu Mungu anawaandikia hijja bila hata wao kutua Saudia. ila kwa Umra ya Bimkubwa, Mungu anajua zaidi (Allahu Aaalam)

M23 wanatishia amani maziwa makuu Bimkubwa yeye yuko anapuyanga tu kwa wajomba zake.
Mwambieni Vasco da Gama kuwa huku kwake Rais wa Kenya anahaha kutafuta jeshi ili M23 wakafurushwe Congo DR.

Nia ya Bahima State proposal chini ya mwanaharamu Kagame ni kuwa Rwanda inatakiwa kuongeza eneo la mipaka yake kupitia waasi kwa kupora ardhi ya Congo DR wakimaliza huko watakuwa na nguvu kubwa kijeshi kisha watahamia kuja kupora ardhi kwa nguvu huku TZ, Kenya na Uganda. In 500 years nia ya Rwanda ni kuunganisha nchi za Africa Mashariki kuwa nchi moja ya Rwanda chini ya watakaofuata baada ya Kagame kuwa mavumbi.

Vasco da Gama asijesema hatukumwambia hili balaa la waasi wa M23!!
 
ninavyojua ili upate hijja safi ipokelewe inatakiwa mja uende kule kwa kutumia pesa ya halali ya jasho lako mfano mshahara wako au faida ya business kama wewe ni mfanyabiashara. Tena kabla hujaenda inatakiwa ndugu zako kusiwe na mwenye njaa!

Sasa kwa hili la Bimkubwa sidhani kama kidini yuko sahihi kutumia kodi na ndege za wabongo bila ridhaa yao tena wengine wanashinda njaa eti kwenda hijja

. Naamini ilitakiwa Vasco da Gama akistaafu ndo aende hijja kwa pesa ya mfukoni mwake maana siamini kama raia wako radhi nae kuchezea kodi zao kwa masuala binafsi ! Ninavyojua kuna watu Mungu anawaandikia hijja bila hata wao kutua Saudia. ila kwa Umra ya Bimkubwa, Mungu anajua zaidi (Allahu Aaalam)

M23 wanatishia amani maziwa makuu Bimkubwa yeye yuko anapuyanga tu kwa wajomba zake.
Mwambieni Vasco da Gama kuwa huku kwake Rais wa Kenya anahaha kutafuta jeshi ili M23 wakafurushwe Congo DR.

Nia ya Bahima State proposal chini ya Kagame ni kuwa Rwanda inatakiwa kuongeza eneo la mipaka yake kupitia waasi kwa kupora ardhi ya Congo DR wakimaliza huko watakuwa na nguvu kubwa kijeshi kisha watahamia kuja kupora ardhi kwa nguvu huku TZ, Kenya na Uganda. In 500 years nia ya Rwanda ni kuunganisha nchi za Africa Mashariki kuwa nchi moja ya Rwanda chini ya watakaofuata baada ya Kagame kuwa mavumbi.

Vasco da Gama asijesema hatukumwambia hili balaa la waasi wa M23!!
JPM hakusafiri nje ya africa hata mara moja, uliwahi kusikia habari hizi za Bahima katika awamu yake?.

Akikaa humu ndani ni matatizo, mbona rais wetu hasafiri?, akisafiri kwenda nje ni kosa jingine mbona rais wetu anatumia kodi zetu kusafiri?. Hiyo misafara ya safari zake na ukubwa wake haitumii kodi zetu nyingi?.

Aliyeiroga akili ya mtanzania keshakufa na kaburi lake halijulikani lipo wapi.
 
Mama Samia kati ya viongozi Waislamu wachache wakuhesabika wenye roho nzuri.
wapo wengine ni waisalm majina tu, matendo yao ya ovyo kabisa.
ila mama yuko committed kwenye imani yake.
ana hofo ya Mungu kwelikweli.
ni mfano mzuri sana kuigwa na viongozi wengine ambao bado wana matendo ya ajabu na roho mbaya.
 
Alhamdulillah..ile kauli ya vyuma vimekaza kwa sasa siisikii tena...enyi majuha mnaomsema vibaya huyu mama nijibuni.
 
Ana roho nzuri huoni jamaa wanavyoondolewa na kuwapa ardhi watu wa dini ya haki?
Kimara na mbezi wamevunjiwa wote mliufyata magu kaua watu wengi kavunja jengo la tanesco ubungo kwa chuki tu na eneo halifanyiwi kazi wakristo mna roho mbaya
 
Mnapita kwenda wapi?🤔
Tulitoka kwa udongo tutarudi kwa udongo !! I.e mavumbini !!! Tukijua na kuamini hivyo binadamu hatutokua na kiburi tena hapa kwa Dunia !! Be prepared for the big day to come ! It's there just around the corner !!
 
Gazeti limeandika UMRAH ww unatuambia HIJJA, kuna tofauti kubwa saaaana hapo ya kiibada, ikiwa kitu hamjui ulizeni kwanza, ndipo mje hapa mlete taarifa.
 
Tulitoka kwa udongo tutarudi kwa udongo !! I.e mavumbini !!! Tukijua na kuamini hivyo binadamu hatutokua na kiburi tena hapa kwa Dunia !! Be prepared for the big day to come ! It's there just around the corner !!
Unauhakika ulitoka kwa udongo?. Unavithibitisho vya kueleweka kuhusu hiyo kauli yako?🤔
 
Back
Top Bottom