Rais Samia awasili kwa Jeddah kuhiji

Rais Samia awasili kwa Jeddah kuhiji

Tuheshimu IMANI za Dini za watu, anacho fanya ni kutekeleza sehemu muhimu ya takwa la dini yake. Katika uislamu, kuna nguzo Kuu 5 na moja wapo ni HIJJA.

Kapata nafasi hiyo kaona yupo huko basi aitumie kisha arudi Tanzania. Au mlitaka arudi huku kisha apange tena safari ya kurudi Makkah kufanya HIJJA?!!
 
Hili swala la kutakaswa Kiroho alilofanya ambalo ni la kiibada ni muhimu sana, na Mwenyezi Mungu aendelee kumbariki! kaenda sehemu takatifu, chonde tisibeze hili maana ndugu zetu waislamu wanaelewa umuhimu wa hili.
Upo sahihi kabisa, nami nimesema kuwa kwa waislamu hii ni nguzo muhimu kati ya zile nguzo tano.
 
Kongole kwa Mama, Sina takwimu za viongozi wakuu wa nchi wakiwa madarakani wanakwenda Hija.
Madaraka hupumbambaza wengi kujiona miungu watu.
Sijui kwa nini Magufuli alinunua ndege? Naona zinarahisisha sana safari watu hatutulii sehemu moja. Mungu hutafutwa hata kabla ya madaraka, unasubiri tozo za watu ndo zikusafirishe kwenda hija!
 
Hizo safari ni nzuri kwa taifa letu kwanza zinarudisha imani ilio kua imepotea pili tutapata watalii wa kutoka middle East, tutapata wawekezaji wa maana na mikopo isio kua na riba, waarabu ni wazuri kwenye biashara bigup mama nga'risha nyota ya taifa
Safari za kwenda hijjah zinaleta watalii?🤔
 
Back
Top Bottom