Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Hata enzi za mwenda zake mlianza hizi kufuru...lakini Mungu ni fundi na kikomo cha mashindano hivyo mimi ni nani nikubishie?Urais raha bana, afu eti wana CCM walitaka eti 2025 awapishe - 🙂🙂🙂
yaani ni hivi 2025 tunaanza upyaaaa - ngoma hadi 2035 mwana CCM hutaki tangulia Burundi.