Imagine angemuwasha makofiUlinzi kwa Rais wetu haujaniridhisha, Mange is like a stranger how comes anamsogelea Rais karibu kiasi hicho? japo nimeuona mkono wa askari ukimzuia na Samia alivyoweka mikono yake pia ni kama anajilinda, lakini hiyo pekee kwangu haitoshi, next time ulinzi wa Rais wa nchi uimarishwe asisogelewe sana na raia wa kawaida.
Hii comment pambe sanaSasa na wewe unaamini ni kitu kimoja ?Wangekuwa kitu kimoja si wangekufa pamoja ?Unafikiri Samia alikuwa anafurahia ubabe wa Magufuli ?
Hadi wewe unasema hivo??Mama Samia anaingizwa kwenye mkondo mgumu na asioujua mwisho wake. CCM zamu hii wana wakati mgumu zaidi kuweza kusimama na mama Samia.
Muda utatupa darasa tu.
Mkuu 'Victoire', najaribu kukulinganisha na huyo binti Mange anayezungumziwa kwenye mada hii, kwa kukumbuka maandishi yako ya wakati uleeee wa Magufuli..., wewe unadhani unatofautiana naye?Hujui CCM Rais ndo kila kitu ?Hakuna wa kumbabaisha Rais kuanzia CCM mpaka Tanzania kama taifa. Rais wa Tanzania ni Mungu mtu. Refer Magufuli hadi mawaziri aliwaita "Pumbavu"Viti maalum alimuweka hadi Kabula hawala yake.
Ulitaka akuweke wewe kimada wake akakataa? Mbona unaandika kama bile Magufuli alikutafuna halafu akakutelekeza. Labda hukumvutiaHujui CCM Rais ndo kila kitu ?Hakuna wa kumbabaisha Rais kuanzia CCM mpaka Tanzania kama taifa. Rais wa Tanzania ni Mungu mtu. Refer Magufuli hadi mawaziri aliwaita "Pumbavu"Viti maalum alimuweka hadi Kabula hawala yake.
Ni kweli kwa meko alionekana ni mhaini lakini hakuwa mhaini wa nchi!!na ndio maana leo umeona rais alivyokutana naye ni kama vile hana shida na nchi, lile jamaa lilikuwa shamba sana!!leo hii hata akija nchini ile taarifa za kukamatwa kwake iliyotolewa mipaka yote ya kuingia nchini na idara ya uhamiaji haina nguvu tena!!!yaani MWENDAZAKE MASALIA wanapata tabu sana na jinsi mama anavyojaribu kuachana na siasa za kishamba zile.Alishachoka kuishambulia CCM baada ya kuona watanzania wamezubaa, kama zile kelele zake zingefanikiwa kuwaamsha watanzania waiondoe CCM madarakani sidhani kama leo angekutana na Samia hapo, huyo Mange ni sawa na mhaini tu anaejipendekeza asamehewe dhambi zake.
Bonge moja la komenti mkuu ,nimeipenda iyo komentiKwa kifupi Magufuli alichemka sana kuwa na mgombea mwenza mwanamke,hasa huyo chief Hangaya.
Excellent comment....!Extremely clever and manipulative whore. I bet the Muslims in the President's nearest circle made this cheap PR stunt happen because the whore happens to be both a Muslim and a Woman.
CCM ilishaanza kulegea hadi alipoingia Magufuli na kuteka vyombo vyote vya dola. Simwone mwingine mwenye sifa alizokuwa nazo Magufuli kuweza kuteka kila kitu kama ilivyokuwa wakati wake.Kama Maalim alishindwa kuiondoa ccm huko kwenu Zanzibar,huku barq mzee sahau sioni upinzani serious wenye mikakati chanya kupambana na jini la Lumumba!!
Kwa mafisadi na mabeberu alikuwa mtu mbaya sana, lakini kwa wazalendo alikuwa ni mwema sana! Ukitaka kujua mtu aliye mbaya kwa watanzania angalia tu je mafisadi na mabeberu wanamsifu?? Hicho ndiyo kipimo cha uhakika.Magufuli alikuwa mtu mbaya mno huo ndio ukweli
Usalama wa Raisi hawawajibiki likitokea lakutokea nan wakulaumiwa.Mange alimshambulia sana Magufuli hadi kuutweza utu wake leo anatambulishwa kama mtoto wa Mama.
Mama alituambia yeye na Magufuli ni kitu kimoja, mimi nasema kwa haya Mama na Magufuli sio kitu kimoja tusidanganyane.
Tutaona rangi ya kila mmoja muda si mrefuView attachment 1945136
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Sasa Ben sanane alikuwa fisadi au Azory Gwanda au lissuKwa mafisadi na mabeberu alikuwa mtu mbaya sana, lakini kwa wazalendo alikuwa ni mwema sana! Ukitaka kujua mtu aliye mbaya kwa watanzania angalia tu je mafisadi na mabeberu wanamsifu?? Hicho ndiyo kipimo cha uhakika.
Naomba maandishi ya bango yaletwe hapaHilo bango la Mange naona limerudishwa chap uvunguni sijuwi aliandika vitu gani....
Kwa mazingira haya42nd St..1st Avenue..
Ready for UNGA 76..
Dunia yote iko hapa..
View attachment 1945169View attachment 1945172