Mange alimshambulia sana Magufuli hadi kuutweza utu wake leo anatambulishwa kama mtoto wa Mama.
Mama alituambia yeye na Magufuli ni kitu kimoja, mimi nasema kwa haya Mama na Magufuli sio kitu kimoja tusidanganyane.
Tutaona rangi ya kila mmoja muda si mrefuView attachment 1945136
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Tunawategemea pia kwa mamb mengi, hakuna namna ya kuwa escape hawa jamaa mzee. Mzungu, mchina wote walewale tu.Mama anababaikia sana wazungu na kuwaona ndio binadamu wa kweli
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Hata usemeje watanzania wanajua uzuri wa JPM! Japo hayupo huwezi kufanikiaa kuyabomoa aliyoyajenga na jkijaribu hutafanikiwa!! Mfano mdogo tu ni kwamba watanzania wanafuata msimamo wa Magufuli kuhusu corona!! Hawana habari na chanjo wala barakoa na maisha yanaendelea!! Msimamo huu hakuna awezaye kuuvunja!! Kuna watu walijaribu kufufua tena mradi wa bandari ya bagamoyo wameshaangukia pua!! Kuna watu walitaka kufutilia mbali stiglers George wameangukia pua!! Ukitaka watanzania walio wengi wakuponde, wewe jaribu kumponda JPM!!Kama ubaya wa Magufuli hukuuona au kuusikia miaka yote sita ya utawala wake wa kidikteta,ni nani wa kukuambia ukaelewa?
Suala na maadili kwa baadhi ya watanzania ni gumu sana? Kiongozi ambaye alikuwa anatawala nchi kama kampuni yake na kutukana watu qaliomuweka madarakani wewe huoni ubaya wake?
Mtawala ambaye alikuwa ameteka vyombo vyote vya habari kibabe na kulazimisha viimbe sifa zake na uongo wake wewe huoni tatizo?
Mtawala ambaye alikuwa anatumia pesa za umma bila kufuata utaratibu wa bajeti wewe unaona ni sawasawa tu!
Mtawala ambaye alikuwa anatumia pesa za umma kununua wapinzani, wewe huoni ubaya wake?
alikuwa hafurahii,wala hana ubavu wa kuufanya.Sasa na wewe unaamini ni kitu kimoja ?Wangekuwa kitu kimoja si wangekufa pamoja ?Unafikiri Samia alikuwa anafurahia ubabe wa Magufuli ?
Democracy and human rights are in good handsHilo bango la Mange naona limerudishwa chap uvunguni sijuwi aliandika vitu gani....
Alitengua kauli kwa ufafanuzi mrefu kabisa dialo tulimsamehe na kumpuuzaKichaa yule ndo maana anatajwa si mimi ni maneno ya diallo kada mtiifu wa ccm
,wa mafisadi alikuwa katili maana mafisadi pia ni wakatilk sana kwa watanzania!! Hakjna fisadi au beberu anayeweza kumpenda Magufuli!!Magufuli alikua katili sana
Rais katili kuwahi kutokea Tz.Haiwezi kuwa siku jf bila magufuli kutajwa.. yaonekana tz haijawahi kuwa na marais wengine zaidi yake kiasi sasa jf std practice ni kutaja magufuli kwa kila hoja..
kodi hizi ambazo umeambiwa uongeze kutoa ukapata stroke na BP kwa pamoja???Nimekuambia mapema,wewe siyo wa kuambiwa ukaelewa! Huo ujenzi wa hospitali na elimu bure,ndio kazi ya kodi zetu. Hata wakoloni walijenga miundo mbinu mingi tu. Wajerumani ndio waliojenga treni unayoiona. Serikali ya nyerere na ya Mwinyi walisomesha bure watanzania kuanzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu! Hata leo,serikali ya raisi samia inaendelea kujenga hospitali na miundombinu mingine,na kusomesha bure watanzania kwa kodi zetu.
Kama ubaya wa Magufuli hukuuona au kuusikia miaka yote sita ya utawala wake wa kidikteta,ni nani wa kukuambia ukaelewa?
Suala na maadili kwa baadhi ya watanzania ni gumu sana? Kiongozi ambaye alikuwa anatawala nchi kama kampuni yake na kutukana watu qaliomuweka madarakani wewe huoni ubaya wake?
Mtawala ambaye alikuwa ameteka vyombo vyote vya habari kibabe na kulazimisha viimbe sifa zake na uongo wake wewe huoni tatizo?
Mtawala ambaye alikuwa anatumia pesa za umma bila kufuata utaratibu wa bajeti wewe unaona ni sawasawa tu!
Mtawala ambaye alikuwa anatumia pesa za umma kununua wapinzani, wewe huoni ubaya wake?
Mama na magufuli sii kitu kimoja.Mange alimshambulia sana Magufuli hadi kuutweza utu wake leo anatambulishwa kama mtoto wa Mama.
Mama alituambia yeye na Magufuli ni kitu kimoja, mimi nasema kwa haya Mama na Magufuli sio kitu kimoja tusidanganyane.
Tutaona rangi ya kila mmoja muda si mrefu
View attachment 1945136
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Hii ndio yenu wasukuma,usitake kulazimisha watu waamini unachokiamini wewe
Wakati wa huyo lucifer watu wameshuhudia mengi yenye kuumiza,mtu alipigwa risasi mchana kweupe,maiti zikiokotwa kwenye viroba,watu wanasiasa na wanahabari wamepotea kusikojulikana mpaka leo,watu waliporwa tank za korosho na wengi wakapoteza maisha
Hayo ni machache maovu ya awamu ya jemedari kubwa la maadui halafu kirahisi rahisi unakuja hapa jukwaani unatuimbia mapambio
Mwenyezimungu mwingi wa rehema anawapenda waja zake,na wanafiki kama nyie mna adhabu iumizayo siku ya siku
mahasimu wa jpm hata kwa muonekano wa nje ni watu waliokuwa wamekata tamaa kabisa ya maisha.Mkuu. Kwa kuwa hatukufahamu, nachoweza kusema you are Sick . Katibiwe. Rais kazi yake sio Kuja kukutawaza uharo wako. Miundo mbinu na malengo ya kitaifa ndo shughuli yake ingiongozwa na ilani na sera za chama chake. He was a human being, ila nahisi wewe ni mnyama. Jitokeze hadharani mbele ya wananchi ongea hayo. Then you will know and understand how loved was, our JPM.
Kwa lugha yako na judgement yako inakuonyesha una majanga sana binafsi. Pole na please Katibiwe.
Nyie jamaa mnadanganyana sana! Hivi nani amewahi kutaka kufutilia mbali mradi wa strigglers?Hata usemeje watanzania wanajua uzuri wa JPM! Japo hayupo huwezi kufanikiaa kuyabomoa aliyoyajenga na jkijaribu hutafanikiwa!! Mfano mdogo tu ni kwamba watanzania wanafuata msimamo wa Magufuli kuhusu corona!! Hawana habari na chanjo wala barakoa na maisha yanaendelea!! Msimamo huu hakuna awezaye kuuvunja!! Kuna watu walijaribu kufufua tena mradi wa bandari ya bagamoyo wameshaangukia pua!! Kuna watu walitaka kufutilia mbali stiglers George wameangukia pua!! Ukitaka watanzania walio wengi wakuponde, wewe jaribu kumponda JPM!!
Nani kakwambia korosho haijapata suluhisho? Nani kakwambia mbaazi haijapata suluhisho??mpaka sasa mtu anahangaika na kesi ya ugaidi,wagoloko mnaendelea kuimba mapambio.
kelele zilikuwa maisha kuwa magumu,bahati mbaya sana kodi zinazidi kupaa,huku watuhumiwa wa ufisadi wakiachiwa.
korosho,mahindi,na mbaazi bado hazijapata suluhishi mbali na nchi kukabidhiwa malaika asiyejua kumiza watu.
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema anajua ni nani alifanya ukatili ule kwa wanyonge wa tz,kumwondoa mkombozi wao,ila nyie kamati panya wa store mnamnasibisha Mungu na mipango yenu ya kikafiri.
atatoboa mitumbo yenu inayonenepeana kwa mali za kujilimbikizia.
unajua mafuta ni shingapi??Nani kakwambia korosho haijapata suluhisho? Nani kakwambia mbaazi haijapata suluhisho??
Hayo mazao aliyaua magufuli wenu Ila sasa bei yake imetengamaa na wakulima wanafurahi huko mikoani. Mahindi ndo yana shida nayo yanapatiwa ufumbuzi
Mange ana jisikia hatia kwani hakujua kama atakuwa na mchango pamoja na watu waliomuombea Dua mbaya hayati, hakufikiri kwamba Dua zao zingepelekea mazito kama hayo na anajutia kuwa miongoni mwao, nafsi inamsumbua,Alishachoka kuishambulia CCM baada ya kuona watanzania wamezubaa, kama zile kelele zake zingefanikiwa kuwaamsha watanzania waiondoe CCM madarakani sidhani kama leo angekutana na Samia hapo, huyo Mange ni sawa na mhaini tu anaejipendekeza asamehewe dhambi zake.
ni jambo jema mlipe kodi sasa vilio hatutaki.Mbaazi imenunuliwa 1200 kilo mwaka huu kwa mikoa ya lindi na mtwara,wakati wa yule shetani mbaazi ilinunuliwa mpaka mia mbili 200 kilo
Tunasubiri korosho itanunuliwa bei gani
Kumbe jamaa kelele zote za miaka mitano ni kwamba ulitengwa na mfumo aisee , ukiona Mtu mweusi akikupambania unatakiwa kuwa makini sana.Watu wanakuwa wanapigania walivyopoza kwa mda huo.Nani kakwambia korosho haijapata suluhisho? Nani kakwambia mbaazi haijapata suluhisho??
Hayo mazao aliyaua magufuli wenu Ila sasa bei yake imetengamaa na wakulima wanafurahi huko mikoani. Mahindi ndo yana shida nayo yanapatiwa ufumbuzi