mpaka sasa mtu anahangaika na kesi ya ugaidi,wagoloko mnaendelea kuimba mapambio.
kelele zilikuwa maisha kuwa magumu,bahati mbaya sana kodi zinazidi kupaa,huku watuhumiwa wa ufisadi wakiachiwa.
korosho,mahindi,na mbaazi bado hazijapata suluhishi mbali na nchi kukabidhiwa malaika asiyejua kumiza watu.
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema anajua ni nani alifanya ukatili ule kwa wanyonge wa tz,kumwondoa mkombozi wao,ila nyie kamati panya wa store mnamnasibisha Mungu na mipango yenu ya kikafiri.
atatoboa mitumbo yenu inayonenepeana kwa mali za kujilimbikizia.