Rais Samia awasili Marekani leo Sept 19, 2021 kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN)

Rais Samia awasili Marekani leo Sept 19, 2021 kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN)

Mange alimshambulia sana Magufuli hadi kuutweza utu wake leo anatambulishwa kama mtoto wa Mama.

Mama alituambia yeye na Magufuli ni kitu kimoja, mimi nasema kwa haya Mama na Magufuli sio kitu kimoja tusidanganyane.

Tutaona rangi ya kila mmoja muda si mrefuView attachment 1945136

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app

0AA4320A-3DDD-49E2-A463-96FEF48AF32D.jpeg
 
Kama ubaya wa Magufuli hukuuona au kuusikia miaka yote sita ya utawala wake wa kidikteta,ni nani wa kukuambia ukaelewa?

Suala na maadili kwa baadhi ya watanzania ni gumu sana? Kiongozi ambaye alikuwa anatawala nchi kama kampuni yake na kutukana watu qaliomuweka madarakani wewe huoni ubaya wake?
Mtawala ambaye alikuwa ameteka vyombo vyote vya habari kibabe na kulazimisha viimbe sifa zake na uongo wake wewe huoni tatizo?
Mtawala ambaye alikuwa anatumia pesa za umma bila kufuata utaratibu wa bajeti wewe unaona ni sawasawa tu!
Mtawala ambaye alikuwa anatumia pesa za umma kununua wapinzani, wewe huoni ubaya wake?
Hata usemeje watanzania wanajua uzuri wa JPM! Japo hayupo huwezi kufanikiaa kuyabomoa aliyoyajenga na jkijaribu hutafanikiwa!! Mfano mdogo tu ni kwamba watanzania wanafuata msimamo wa Magufuli kuhusu corona!! Hawana habari na chanjo wala barakoa na maisha yanaendelea!! Msimamo huu hakuna awezaye kuuvunja!! Kuna watu walijaribu kufufua tena mradi wa bandari ya bagamoyo wameshaangukia pua!! Kuna watu walitaka kufutilia mbali stiglers George wameangukia pua!! Ukitaka watanzania walio wengi wakuponde, wewe jaribu kumponda JPM!!
 
Sasa na wewe unaamini ni kitu kimoja ?Wangekuwa kitu kimoja si wangekufa pamoja ?Unafikiri Samia alikuwa anafurahia ubabe wa Magufuli ?
alikuwa hafurahii,wala hana ubavu wa kuufanya.

si unaona kwa sasa mambo yanavyokwenda kwa kudra za Mungu!!!!
 
Haiwezi kuwa siku jf bila magufuli kutajwa.. yaonekana tz haijawahi kuwa na marais wengine zaidi yake kiasi sasa jf std practice ni kutaja magufuli kwa kila hoja..
Rais katili kuwahi kutokea Tz.
 
Nimekuambia mapema,wewe siyo wa kuambiwa ukaelewa! Huo ujenzi wa hospitali na elimu bure,ndio kazi ya kodi zetu. Hata wakoloni walijenga miundo mbinu mingi tu. Wajerumani ndio waliojenga treni unayoiona. Serikali ya nyerere na ya Mwinyi walisomesha bure watanzania kuanzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu! Hata leo,serikali ya raisi samia inaendelea kujenga hospitali na miundombinu mingine,na kusomesha bure watanzania kwa kodi zetu.
kodi hizi ambazo umeambiwa uongeze kutoa ukapata stroke na BP kwa pamoja???

acha kujipa nyota ambazo huna bana,eti kodi zetu[emoji1787]
 
Kama ubaya wa Magufuli hukuuona au kuusikia miaka yote sita ya utawala wake wa kidikteta,ni nani wa kukuambia ukaelewa?

Suala na maadili kwa baadhi ya watanzania ni gumu sana? Kiongozi ambaye alikuwa anatawala nchi kama kampuni yake na kutukana watu qaliomuweka madarakani wewe huoni ubaya wake?
Mtawala ambaye alikuwa ameteka vyombo vyote vya habari kibabe na kulazimisha viimbe sifa zake na uongo wake wewe huoni tatizo?
Mtawala ambaye alikuwa anatumia pesa za umma bila kufuata utaratibu wa bajeti wewe unaona ni sawasawa tu!
Mtawala ambaye alikuwa anatumia pesa za umma kununua wapinzani, wewe huoni ubaya wake?

Mkuu. Kwa kuwa hatukufahamu, nachoweza kusema you are Sick . Katibiwe. Rais kazi yake sio Kuja kukutawaza uharo wako. Miundo mbinu na malengo ya kitaifa ndo shughuli yake ingiongozwa na ilani na sera za chama chake. He was a human being, ila nahisi wewe ni mnyama. Jitokeze hadharani mbele ya wananchi ongea hayo. Then you will know and understand how loved was, our JPM.

Kwa lugha yako na judgement yako inakuonyesha una majanga sana binafsi. Pole na please Katibiwe.
 
Mange alimshambulia sana Magufuli hadi kuutweza utu wake leo anatambulishwa kama mtoto wa Mama.

Mama alituambia yeye na Magufuli ni kitu kimoja, mimi nasema kwa haya Mama na Magufuli sio kitu kimoja tusidanganyane.

Tutaona rangi ya kila mmoja muda si mrefu

View attachment 1945136

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Mama na magufuli sii kitu kimoja.
Mbowe anashitakiwa na mama kwa kesi iliyotungwa wakati wa Magu.
 
Hii ndio yenu wasukuma,usitake kulazimisha watu waamini unachokiamini wewe

Wakati wa huyo lucifer watu wameshuhudia mengi yenye kuumiza,mtu alipigwa risasi mchana kweupe,maiti zikiokotwa kwenye viroba,watu wanasiasa na wanahabari wamepotea kusikojulikana mpaka leo,watu waliporwa tank za korosho na wengi wakapoteza maisha

Hayo ni machache maovu ya awamu ya jemedari kubwa la maadui halafu kirahisi rahisi unakuja hapa jukwaani unatuimbia mapambio

Mwenyezimungu mwingi wa rehema anawapenda waja zake,na wanafiki kama nyie mna adhabu iumizayo siku ya siku

mpaka sasa mtu anahangaika na kesi ya ugaidi,wagoloko mnaendelea kuimba mapambio.

kelele zilikuwa maisha kuwa magumu,bahati mbaya sana kodi zinazidi kupaa,huku watuhumiwa wa ufisadi wakiachiwa.

korosho,mahindi,na mbaazi bado hazijapata suluhishi mbali na nchi kukabidhiwa malaika asiyejua kumiza watu.

Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema anajua ni nani alifanya ukatili ule kwa wanyonge wa tz,kumwondoa mkombozi wao,ila nyie kamati panya wa store mnamnasibisha Mungu na mipango yenu ya kikafiri.
atatoboa mitumbo yenu inayonenepeana kwa mali za kujilimbikizia.
 
Mkuu. Kwa kuwa hatukufahamu, nachoweza kusema you are Sick . Katibiwe. Rais kazi yake sio Kuja kukutawaza uharo wako. Miundo mbinu na malengo ya kitaifa ndo shughuli yake ingiongozwa na ilani na sera za chama chake. He was a human being, ila nahisi wewe ni mnyama. Jitokeze hadharani mbele ya wananchi ongea hayo. Then you will know and understand how loved was, our JPM.

Kwa lugha yako na judgement yako inakuonyesha una majanga sana binafsi. Pole na please Katibiwe.
mahasimu wa jpm hata kwa muonekano wa nje ni watu waliokuwa wamekata tamaa kabisa ya maisha.
 
Hata usemeje watanzania wanajua uzuri wa JPM! Japo hayupo huwezi kufanikiaa kuyabomoa aliyoyajenga na jkijaribu hutafanikiwa!! Mfano mdogo tu ni kwamba watanzania wanafuata msimamo wa Magufuli kuhusu corona!! Hawana habari na chanjo wala barakoa na maisha yanaendelea!! Msimamo huu hakuna awezaye kuuvunja!! Kuna watu walijaribu kufufua tena mradi wa bandari ya bagamoyo wameshaangukia pua!! Kuna watu walitaka kufutilia mbali stiglers George wameangukia pua!! Ukitaka watanzania walio wengi wakuponde, wewe jaribu kumponda JPM!!
Nyie jamaa mnadanganyana sana! Hivi nani amewahi kutaka kufutilia mbali mradi wa strigglers?

Nani kakwambia Bandari ya Bagamoyo haitajengwa?

Kwani kuhusu corona ni Tanzania tu wanakataa kuvaa Barakoa na chanjo? Wapi Africa unaona wananchi wanavaa barakoa mitaani zaidi ya kwenye mikutano? Nao wanamfuata Magufuli??

Nyie jamaa aliyewaita washamba hakukosea kwa Kweli!
 
mpaka sasa mtu anahangaika na kesi ya ugaidi,wagoloko mnaendelea kuimba mapambio.

kelele zilikuwa maisha kuwa magumu,bahati mbaya sana kodi zinazidi kupaa,huku watuhumiwa wa ufisadi wakiachiwa.

korosho,mahindi,na mbaazi bado hazijapata suluhishi mbali na nchi kukabidhiwa malaika asiyejua kumiza watu.

Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema anajua ni nani alifanya ukatili ule kwa wanyonge wa tz,kumwondoa mkombozi wao,ila nyie kamati panya wa store mnamnasibisha Mungu na mipango yenu ya kikafiri.
atatoboa mitumbo yenu inayonenepeana kwa mali za kujilimbikizia.
Nani kakwambia korosho haijapata suluhisho? Nani kakwambia mbaazi haijapata suluhisho??

Hayo mazao aliyaua magufuli wenu Ila sasa bei yake imetengamaa na wakulima wanafurahi huko mikoani. Mahindi ndo yana shida nayo yanapatiwa ufumbuzi
 
Nani kakwambia korosho haijapata suluhisho? Nani kakwambia mbaazi haijapata suluhisho??

Hayo mazao aliyaua magufuli wenu Ila sasa bei yake imetengamaa na wakulima wanafurahi huko mikoani. Mahindi ndo yana shida nayo yanapatiwa ufumbuzi
unajua mafuta ni shingapi??
achana na diesel na petrol nazungumzia ya kupikia.
 
Alishachoka kuishambulia CCM baada ya kuona watanzania wamezubaa, kama zile kelele zake zingefanikiwa kuwaamsha watanzania waiondoe CCM madarakani sidhani kama leo angekutana na Samia hapo, huyo Mange ni sawa na mhaini tu anaejipendekeza asamehewe dhambi zake.
Mange ana jisikia hatia kwani hakujua kama atakuwa na mchango pamoja na watu waliomuombea Dua mbaya hayati, hakufikiri kwamba Dua zao zingepelekea mazito kama hayo na anajutia kuwa miongoni mwao, nafsi inamsumbua,
 
Mbaazi imenunuliwa 1200 kilo mwaka huu kwa mikoa ya lindi na mtwara,wakati wa yule shetani mbaazi ilinunuliwa mpaka mia mbili 200 kilo

Tunasubiri korosho itanunuliwa bei gani
ni jambo jema mlipe kodi sasa vilio hatutaki.

na mahindi yakifika 1200 kwa kilo kila mtu akalime.
 
Nani kakwambia korosho haijapata suluhisho? Nani kakwambia mbaazi haijapata suluhisho??

Hayo mazao aliyaua magufuli wenu Ila sasa bei yake imetengamaa na wakulima wanafurahi huko mikoani. Mahindi ndo yana shida nayo yanapatiwa ufumbuzi
Kumbe jamaa kelele zote za miaka mitano ni kwamba ulitengwa na mfumo aisee , ukiona Mtu mweusi akikupambania unatakiwa kuwa makini sana.Watu wanakuwa wanapigania walivyopoza kwa mda huo.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom