Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,489
- 7,446
Aisee namuombea msamaha huyu Mzee wa watu maana umemkomalia kweli kweli, hakuwa malaika alikuwa ni binadamu ambaye si mkamilifu, yapo ambayo alituuzi wengi lakini ndio ubinadamu. Imetosha apumzike kwa amani Mzee wa watu.Ndio hivyo kama alikuwa Dhalimu ulitaka nani amchekee?
Mama hawezi fanana na Katili