Rais Samia awateua Lukuvi, Bulembo, Balozi Luhwavi na Omar Kheir kuwa Washauri wa Rais Siasa na Uhusiano wa Jamii

Bashiru hawez kununua Kwa sababu Moja ana akili Kubwa, pili msomi, tatu mzalendo.


Sanasana anaweza sikitika Kwa namna mambo yanavyoenda ,nayeye ni mzalendo.
angekuwa mzalendo angechukua rushwa wakati akiwa katibu mkuu wa chama? waulize wabunge watakwambia vizuri walikuwa wanampa ngapi yeye na polepole ili majina yao ya rudi.
 
Hilo ndilo lengo lake kuu. Siyo kweli anauhitaji ushauri wa Lukuvi bali anataka kumdhibiti, asiwe na uhuru wa kukosoa chochote.
Kumdhibiti Lukuvi tena?! hakuna kitu kama hicho, anajua kwenye hili la bandari ameharibu sana, anachofanya sasa ni kuunganisha yale makundi aliyoanza kuyatenga mwanzo ili apunguze lawama dhidi yake.
 
Bulembo ndio alikuwa campaign manager wa Mtakatifu Magufuli.
 
Lukuvi ni usalama wa Taifa, atatumika popote Rais atakapoona inafaa.
 
Washauri wa Rais hulipwa mishahara au kazi ya kujitolea tu?

Bulembo atashauri nini cha maana ilhali yeye mwenyewe anahitaji washauri binafsi!

Yule na Mzee Makamba ni kasoro tarehe tu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Maji yanazidi kuongezeka kina, yatafika mabegani soon
 
Nakumbuka shule ilivyokuwa inaongozwa na DADA MKUU..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…