Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Tusipangiane, kila mtu na maisha yake kwanzaWao wachome tu, maigizo yao yanatambulika hata kwa mtu ambae yuko kijijini ndanindani kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusipangiane, kila mtu na maisha yake kwanzaWao wachome tu, maigizo yao yanatambulika hata kwa mtu ambae yuko kijijini ndanindani kabisa.
Tumeona. Sasa ndiyo kusema wenzetu manesi wenu wana gloves colourless? Ni sahihi hao manesi kutovaa gloves? Mbona mnatulazimisha kutilia shaka hili zoezi?Mzee wa upako, Athony Lusekelo ameitwa kufungua kwa sala na kabla anatoa maneno machache ikiwemo kutaka watanzania kuiamini chanjo kwani Serikali imejiridhisha...
Nawaapongeza kwa u turn waliyoifanya hawa viongozi wazandiki.
Kipindi cha magu hawakuthubutu kueleza huu welevu wao. Walibakia kutupa matango pori tu.
Huyu Samia alipaswa kuwaweka wote pembeni ama kuwapiga marufuku kabisa kuzungumzia corona.
We only hope you wash your brain in the first place.View attachment 1871276
Yeye unamtoa? Hahusiki?Nawaapongeza kwa u turn waliyoifanya hawa viongozi wazandiki.
Kipindi cha magu hawakuthubutu kueleza huu welevu wao. Walibakia kutupa matango pori tu.
Huyu Samia alipaswa kuwaweka wote pembeni ama kuwapiga marufuku kabisa kuzungumzia corona.
Kweli amepata.....
wewe jamaa Kwa jinsi unavyomtetea hiyo jamaa mla kondoo naonaga Kama umeshikiwa akili et gwajima ana watu haaahaaaaaaa acha vichekesho Arif gwajima ni punje ya haradani ndani ya gunia la mahindi!Askofu Rashid Gwajima ameishika CCM na Serikali yake pabaya wamebakia kubweka bweka tu lakini hawana cha kumfanya. Gwajima ana'watu'.
Hata ukiwa taabani ukichoma haikusaidii kawasalimie waenda zao tu.Hatuchomiii😅😅😅 nikiwa mauti utii labda ndio mnichome
Video zingine zinakuwa hoax mzee...Hachanjwi mtu trust me ona hii videoView attachment 1871261
Nipo upande wa Gwajima miaka 100 katika hili.Mzee wa upako kaitwa amjibu gwajima[emoji23][emoji23][emoji23]haya mambo haya..raha tupu wallah
Kwahyo msimamo wa CCM juu ya chanjo ni upiPamoja na kusema anaongea kama aliyetumwa toka mbinguni.... Kama kuna aliyemuelewa mbunge wa kawe ameelewa
Kwani yale maconcoction tuliyokuwa tunaambiwa tunywe na mangene kuyafuata mpaka Madagascar yalifanyiwa utfiti gani??
Kiufupi tu Tanzania hatuna uwezo wa kuthibitisha ubora wa hizo chanjo .... Period.
Tumeona. Sasa ndiyo kusema wenzetu manesi wenu wana gloves colourless? Ni sahihi hao manesi kutovaa gloves? Mbona mnatulazimisha kutilia shaka hili zoezi?
Nina tatizo la kutoona vema. Kama wamevaa mnisamehe kwa chokochoko