Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaribuni muone. Gwajima ana 'watu'.Walifukuzwa akina hayati Aboud Jumbe na HAKIKUNUKA.
Alifukuzwa hayati Maalim Seif Sharrif Hamad na HAKIKUNUKA.
Gwajima ni nani ?
Gwajima nani bwana?!!!
Watu aliokuwa nao ni wale anawaongoza "fikra zao"
HASHTAG GWAJIMA afukuzwe CCM
#GwajimaAfukuzweCCM
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
kwa hiyari yakeMama Samia Suluhu Hassan kashapata chanjo ya corona kwa hiari yake
🤣🤣Jaribuni muone. Gwajima ana 'watu'.
Walifukuzwa akina hayati Aboud Jumbe na HAKIKUNUKA.....
Alifukuzwa hayati Maalim Seif Sharrif Hamad na HAKIKUNUKA.....
Gwajima ni nani ?!!!
Gwajima nani bwana?!!!
Watu aliokuwa nao ni wale anawaongoza "fikra zao".....
HASHTAG GWAJIMA afukuzwe CCM
#GwajimaAfukuzweCCM
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
😂😂😂😂😂😂 wakat mwingine unaweza panga maigizo ya risasi kumbe kuna muhuni anapiga kweliNawaona VENANCE MABEYO na SIRRO hawana amani kabisa.
Sio kwamba wanaogopa chanjo ila wanajiuliza ,je watafanyiwa maigizo kama walivyokubaliana au watageukwa wadungwe kitu chenyewe.
Kwani hii chanjo ni kinga au tiba ya Corona tumieni akili japo kufikiria hata kidg huyo anawadanganya tu unahukakika gani kama wanachanja yenyewe au manyoya tu wawavute nyinyi dagaa?Mh.Rais SSH anasema kama WEWE. Familia yako HAIJAGUSWA kuwa na wagonjwa wa UVIKO basi WAULIZE WATU WA KILIMANJARO NA ARUSHA.
#TujitokezeniKuchanjwa
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
Crap! Stale news, ya zamani sana! Unaamini kabisa kuna kampuni hata kama ina nia mbaya itengeneze dawa mbaya kwa ajiri ya Afrika halafu aiandike hayo maneno, halafu ailete huku? Nyie endeleeni kupiga kelele, wenzenu wanachanja kwa kwenda mbele!We only hope you wash your brain in the first place.View attachment 1871276
counterattack inaitwaMzee wa upako kaitwa amjibu gwajima[emoji23][emoji23][emoji23]haya mambo haya..raha tupu wallah
Acha upoyoyo 🤣Kwani hii chanjo ni kinga au tiba ya Corona tumieni akili japo kufikiria hata kidg huyo anawadanganya tu unahukakika gani kama wanachanja yenyewe au manyoya tu wawavute nyinyi dagaa?
Kuna Vita kali sana inakuja,Kati ya wale wanaopenda kuchoma na wale wasiopenda kuchoma! Itafikia hatua hadi ya kunyanyapaliana,Kati ya waliochoma na Wasio choma!!Ndomaana ikawekwa kuwa hiari,wewe kama unataka nenda kachanjwe ila swala la kujifanya unawajali sana wasiotaka kuchanjwa,ni upumbavu tu.
Atusute tena!!?Namsubiri Rais aseme tena tuna Kelele.
Atusute tena!!?Namsubiri Rais aseme tena tuna Kelele.