Wataalamu watusaidie kwa nini chanjo ya corona ukichanjwa unasambaza virusi tofauti mfano delta variant wakati hizi nyengine tulizochanjwa haikuwa hivyo?
 

Huoni hapo viongozi wavchini yake wamelazimika kuchwa kulinda vitumbua vyao na wasionekane wasaliti. Very unfair practice.
 
Uwezo wetu mdogo sana, yani tumeshindwa hata kutuma watalamu watuletee report kwa nini nchi zilizoanza kuchanja tangu mwaka 2020 mfano Rwanda bado maambukizi ya corona ni makubwa kuliko Tanzania?
Una uhakika no makubwa kuliko hapa?
 
Kila mtu na imani yake je kama hao madaktari na wengineo hawamuamini Mungu wa gwajima hio laana itawapataje?

Kila mtu ana haki ya kutoa mawazo na kusikilizwa
Kumbe Gwajima ana Mungu wake ambaye sisi wengine Mungu wetu Yehova Yahweh anahubiriwa Makanisani na Misikitini......ok nimekupata

#TujitokezeniKuchanjwa
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
 
Naanza kuona umuhimu wa katiba, Cdm wako sahihi, kungekuwa na baadhi ya post anazoteua Rais zinatokana na kuinterviews na mtu apate kwa competency haya mambo ya kuhama na upepo yasingekuwepo
 
Wewe mwenye akili za KICCM ndio ufukuzwe Tanzania kabisa. Kila kitu unawaza KICCM waza kwa kutumia akili zako.
HAKUNA wa kunifukuza nchini mwangu....mimi ni raia wa vizazi vingi nyuma.....

Ila CCM ni chama chenye kanuni zake....wameshawahi kufukuzwa WENGI wenye kaliba kubwa ya kisiasa zaidi yake mbunge Gwajima.....

HASHTAG Gwajima afukuzwe ndani ya CCM

#GwajimaAfukuzweCCM
#JMTMilele
#NchiKwanza
 

Je Haya hapa chini Samia watalamu wako wameyafanya? I guess huna wataalamu wa kufanya hayo. Twende kazini, hopefully walioitengeneza wamehakikisha hayo yote yako sawa. Tukachanje, it is safe within acceptable limits.

c&p
The critical and essential step for computational vaccinology is to design vaccine construct/s by randomly placing the epitopes and joined them with proper linkers.
The vaccine construct must be safe and effective.
To achieve this, the newly designed construct/s need to be checked for its:
antigenicity,
allergenicity,
toxicity,
solubility
and stability.
The result must show that the construct needs to be
a potential antigen,
non-allergic,
non-toxic,
soluble
and highly stable.

These outcomes make it a suitable vaccine candidate for further analysis.
 
Huoni hapo viongozi wavchini yake wamelazimika kuchwa kulinda vitumbua vyao na wasionekane wasaliti. Very unfair practice.
Nawaona VENANCE MABEYO na SIRRO hawana amani kabisa.

Sio kwamba wanaogopa chanjo ila wanajiuliza ,je watafanyiwa maigizo kama walivyokubaliana au watageukwa wadungwe kitu chenyewe.
 
We unamjua yehova au unalopoka tyu huna kaz hebu kasome Bible huko ndio utajua Yehova alisem nn na saiv kinatokea nin
 
Mguseni muone atakavyokinukisha. Gwajima ana'watu'.
Walifukuzwa akina hayati Aboud Jumbe na HAKIKUNUKA.....

Alifukuzwa hayati Maalim Seif Sharrif Hamad na HAKIKUNUKA.....

Gwajima ni nani ?!!!

Gwajima nani bwana?!!!

Watu aliokuwa nao ni wale anawaongoza "fikra zao".....

HASHTAG GWAJIMA afukuzwe CCM

#GwajimaAfukuzweCCM
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
 
Maadamu mtu anajaza form kabla ya kuchanjwa kwa litakalompata ni juu yake basi hilo ndio muhimu hayo mengine hayana muhimu tena hapo.
 
Nadhani hiyo sentence ya hachomwi mtu hapa imekutatiza na hujaelewa
Sihamisishi watu wasichomwe bali nimeweka video inayoonesha wakijifanya kuchoma lakini hachomwi mtu hapo
Nimeamua kukufafanulia kwa manufaa ya wengi
Nimekuelewa..Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…