Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Hoja ya kitoto kabisa😂Mh.Waziri anasema kuwa hata dawa ya QUININE(Kwinini) pamoja na kuwa dawa bora kutibu MALARIA SUGU NA KALI ila ina baadhi ya madhara.......
Ila ndio mujarabu wa Malaria kali yenye kupanda KICHWANI...