#COVID19 Rais Samia azindua Chanjo ya COVID-19 na kuchanjwa. Asema hawezi kujipeleka kwenye Kifo
Mzee wa upako, Athony Lusekelo ameitwa kufungua kwa sala na kabla anatoa maneno machache ikiwemo kutaka watanzania kuiamini chanjo kwani Serikali imejiridhisha.

Pia ameongelea kauli ya Magufuli na kusema hakukataa bali alitaka tahadhari, Mwisho amesema wakristo kuna mambo wanakubaliana wote kwa pamoja.

Waziri wa Afya, Gwajima: Leo ni siku ya kihistoria ambayo tunachukua silaha za kisasa kwenda kupambana na Uviko

= > Hayati Magufuli alisema wizara ya Afya isikimbilie machanjo bila kujiridhisha, leo kuna watu wanapotosha.

FUATILIA LIVE:

Ngwajima afukuzwe uanachama ccm maana kwa maneno yake anania ya kuliangamiza taifa

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Hahahha gwajima, lazima PCB,CBG,PCM zipande ndo uweze kuwa na uwezo wa kuchangia kuhusu chanjo.

Mambo ya molecular biology lazima ujue. Analytical chemistry inahusika.

Wataalam wapo. Yaaan
 
Wengi naona mmeigeuza hii chanjo ya Corona kama mchezo wa kuigiza, ngoja Corona iwapitie ndio mtapata akili, kwa sasa endeleeni kumuamini Gwajima anaesema ataifukuza Corona.

Ndomaana ikawekwa kuwa hiari,wewe kama unataka nenda kachanjwe ila swala la kujifanya unawajali sana wasiotaka kuchanjwa,ni upumbavu tu.
 
Mzee wa upako, Athony Lusekelo ameitwa kufungua kwa sala na kabla anatoa maneno machache ikiwemo kutaka watanzania kuiamini chanjo kwani Serikali imejiridhisha.

Pia ameongelea kauli ya Magufuli na kusema hakukataa bali alitaka tahadhari, Mwisho amesema wakristo kuna mambo wanakubaliana wote kwa pamoja.

Waziri wa Afya, Gwajima: Leo ni siku ya kihistoria ambayo tunachukua silaha za kisasa kwenda kupambana na Uviko

= > Hayati Magufuli alisema wizara ya Afya isikimbilie machanjo bila kujiridhisha, leo kuna watu wanapotosha.

=>Huko, Vifo vilikuwa vinafika 3000 mpaka 4000 kwa siku sasa hali imebadilika

=> Eti chanjo inavuruga utu wa mtu, ni uongongo, tutalieleza. Wa HIV ndio angeenda kupangua huo utu.

=>Maabara tunazo, wataalam tunao. Watanzania wasiwe na hofu. Vitu vyote hakuna visivyo na madhara lakini tunaoutways faida kuliko madhara.



FUATILIA LIVE:

Huyu wazir wa afya anaongea ongea tu kisiasa tu yaaani hajaleta facts za kutosha je after 5yrs au 10yrs Kama chanjo zinaenda mpaka katika RNA and DNA impact Yale Nini??

Nilitegemea aje na facts zilizo na tija hzo chanjo zinafanyaje Kaz katika mwili wa binadamu faida zake na athar zake baada ya miaka kadhaa

Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe bado hawajachanjwa.. sasa taarifa kuwa wamepata chanjo zilitolewa na nani?
 
Changanya na zako mkuu
Subilini Kutaandaliwa Makongamano Meeengi Ya Kuwahamasisha watu Wadungwe hizo Chanjo. Nashangaa Kwa Wenzetu Kila mmoja anajuwa ana opine anavyojua Yeye Lakini Huko Kwetu Mtoa Maoni Khusu hzo Chanjo Anaonekana Msaliti Kwa Taifa na Mchochezi. Je ukishapata Chanjo Ya Uviko, Unaruhusiwa Kutokuvaa Barakoa? Kuna precedence Yoyote Kutoka kwenye nchi zilizochanjwa Kuhusu Unafuu Wa Hizo Chanjo Zao?
 
Mkubwa wewe sasa, acha hizo. Kama hutaki wewe acha. Ingekuwa inawezekana kuwauliza wote waliokufa na huu ugonjwa au wategemezi waliowaacha, wangapi wangesapoti upupu huu mnaoeneza!!
Nadhani hiyo sentence ya hachomwi mtu hapa imekutatiza na hujaelewa
Sihamisishi watu wasichomwe bali nimeweka video inayoonesha wakijifanya kuchoma lakini hachomwi mtu hapo
Nimeamua kukufafanulia kwa manufaa ya wengi
 
Mh.Askofu Gwajima afukuzwe CCM......

Vijana wa CCM hatuwataki watu wapotoshaji aina ya Gwajima ndani ya chama hiki cha kijamaa!!!


CCM ikiacha kutokumfukuza askofu Gwajima basi ijiandae na mengi ya hovyo kutoka kwa huyu ndugu huko mbeleni....(iwekeni hii Kama kumbukumbu).


#TujitokezeTuchanjeChanjo
#ChanjoNi Muhimu
#KaziIendelee
#SiempreJMT
#NchiKwanzaKablaYaNafsiZetu
 
Nawaapongeza kwa u turn waliyoifanya hawa viongozi wazandiki.

Kipindi cha magu hawakuthubutu kueleza huu welevu wao. Walibakia kutupa matango pori tu.

Huyu Samia alipaswa kuwaweka wote pembeni ama kuwapiga marufuku kabisa kuzungumzia corona.
 
Mh.Askofu Gwajima afukuzwe CCM......

Vijana wa CCM hatuwataki watu wapotoshaji aina ya Gwajima ndani ya chama hiki cha kijamaa!!!


CCM ikimuacha askofu Gwajima basi ijiandae na mengi ya hovyo huko mbeleni....(iwekeni hii Kama kumbukumbu).


#TujitokezeTuchanjeChanjo
#ChanjoNi Muhimu
#KaziIendelee
#SiempreJMT
#NchiKwanzaKablaYaNafsiZetu
CCM ikimuacha askofu Gwajima basi ijiandae na mengi ya hovyo huko mbeleni....(iwekeni hii Kama kumbukumbu).
JamiiForums-768572835.jpg
 
Mh.Askofu Gwajima afukuzwe CCM......

Vijana wa CCM hatuwataki watu wapotoshaji aina ya Gwajima ndani ya chama hiki cha kijamaa!!!


CCM ikimuacha askofu Gwajima basi ijiandae na mengi ya hovyo huko mbeleni....(iwekeni hii Kama kumbukumbu).


#TujitokezeTuchanjeChanjo
#ChanjoNi Muhimu
#KaziIendelee
#SiempreJMT
#NchiKwanzaKablaYaNafsiZetu
Upuuzi mwingine bwana😂😂.
 
Mh.Waziri anasema kuwa hata dawa ya QUININE(Kwinini) pamoja na kuwa dawa bora kutibu MALARIA SUGU NA KALI ila ina baadhi ya madhara.......

Ila ndio mujarabu wa Malaria kali yenye kupanda KICHWANI...
 
Huyu wazir wa afya anaongea ongea tu kisiasa tu yaaani hajaleta facts za kutosha je after 5yrs au 10yrs Kama chanjo zinaenda mpaka katika RNA and DNA impact Yale Nini??

Nilitegemea aje na facts zilizo na tija hzo chanjo zinafanyaje Kaz katika mwili wa binadamu faida zake na athar zake baada ya miaka kadhaa

Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
Elimu juu ya chanjo (vaccines) sio nyeoesi hivyo mkuu, hasa ukizingatia walisoma waliyoletewa na wazungu na huu uginjwa ni mpya kabisa, kwahiyo hana cha kuelezea.
 
Back
Top Bottom