Rais Samia, Bado hujaona hili ni tatizo tu?

Rais Samia, Bado hujaona hili ni tatizo tu?

katika watu wa kwanza anaotakiwa kuwapiga chini ni huyo, it is as if anamdharau kwa kuwa ni mwanamke kutokana na mentality ya kidini. Aanze kula pensheni umri ukiwa bado.
Watu walimshauri mama apige chini baraza lote la mawaziri Aunde baraza lake, yeye akadharau!!! Masalia ya dikteta Yana lengo la kumkwamisha
 
Ww mpuuzi kama walivyowapuuzi wengine! Serikali ya awamu ya 5 unayoiita ya kudharimu huyo mama yako hakuwemo? Acha ujinga wa kuweka kabali/wedge, hutafanikiwa!
Mungu ibariki Tz!
Mungu yupi?
Labda mungu wenu marehemu meko
 
Ukimsikiliza Ndugai wa leo sio yule wa miezi miwli nyuma kipindi Mama Samia anashika madaraka, huyu wa sasa amerejea kwenye jeuri na kejeri zilezile za utawala wa Magufuli, Anauhakika na anakokwenda. Ukimsikiliza Mwigulu wa sasa, sio yule wa mwanzo wa utawala wa Mama Samia, Mwigulu wa sasa ana jeuri, kibri na dharau iliyovuka mipaka ya siasa za Dar es Salaamu.

Sasa mwangalie na msikilize mpiga filimbi mdini na mkabila aliyekubuhu wa utawala uliopita bwana Josephat Gwajima, huyu si kwamba anampinga tu Rais Mama Samia, Bali amevuka mipaka na kumtuhumu Rais wa nchi kwamba kahongwa pesa na Marekani ili Marekani iuze chanjo nchini. Genge la utawala uliopita wanaamini Samia ni rais wa Mpito sio rais wa "Awamu". Wanaamini rais wa mpito anakoma 2025 na kwamba mipango yao ya kuwania urais haitaharibiwa na urais wa mpito wa Samia.

Awali kabisa tulionya tukitaka Rais mpya Mama Samia aunde serikali yake badala ya kuendeleza serikali ya mtangulizi wake ambayo ilijengwa mfumo hatari na wa kiharamia kwa miaka zaidi ya mtano. Mfumo huo huwezi kuubomboa kwa kubadili mtu mmoja ambae ni rais tu, bali kuivunja serikali nzima na kuunda serikali mpya.

Kwakuwa siasa ya Dar es Salaam ambako kuibuka kwa nguvu na mtu na kuanguka ni jambo lisiloshangaza, Mfumo uliounda serikali iliyopita bado unanguvu kubwa sana ya kimaamuzi, Pengine lilikuwa kosa kubwa sana la karne kwa Mama Samia kuamua kuendesha nchi kwakutumia mfumo wa serikali iliyopita, Huenda ilikuwa kwa nia njema ama kosa la kimahesabu, kwasasa ni vigumu kujinasua, kinyume chake unajikuta umezungwa na ma spinning doctors hata kama una mamlaka kikatiba lakini wenzio wanakukamata kisiasa, michezo kama blackmails ndio inayouteka utawala mpya. Kundi la wahafidhina limefanikiwa kubaki kwenye mfumo,

Juhudi za Rais wa nchi kupambana na corona kwakufuata masharti ya Shirika la Afya dunia, sasa zinapingwa waziwazi na kundi la utawala uliopita ambalo msimamo wao juu ya janga la corona ulikuwa ni wa kijadi zaidi hali iliyopelekea watu wengi kupoteza maisha katika nchi. Kuhusu Chanjo kwa Tanzania inatakiwa serikali isimame wima itoe elimu ya haraka na ya lazima umuhimu na usalama wa chanjo husika.

Jamii iliharibiwa vibaya sana na Rais Magufuli alipotangaza hadharani kuwa chanjo ya corona haifai, Wazungu hawawapendi Watanzania na tuhuma nyingi lukuki, Leo jamii inamwamini Magufuli kuhusu chanjo, sifiriki kwamba Watz wengi watajitokeza kuchanjwa. Badala ya serikali kutangaza tu kuleteta chanjo, iingie mtaani kutoa elimu na kuhamasisha watu wakachanjwa haraka iwezekanavyo.

Mama Samia, vita vya ndani yako ni vikubwa kuliko hivi vya nje ulivyovianzisha, Wenzio wanakusakizia upigane na wapinzani nje huku wanakumaliza ndani, Ya Joyce Banda yanakugonja. Patana na wapinzani ili ushinde vita vyako vya ndani kirahisi. Vita vya nje hutapigana na Chadema tu, utapigana na dunia nzima hata wanaofadhili bajeti yako watakupiga pia na HAUTASHINDA, wewe ni shahidi wa namna Magufuli alivyopitishwa katika magumu alipoamua kutaka kuua upinzani nchini, hakupigana na Chadema tu, alipigana na dunia nzima akaliumiza taifa na akashindwa yeye. Chadema ipo na itaendelea kuwepo.

Idara ya Usalama wa Taifa, Jeshi la Polisi na vyombo vingine vya ulinzi, inakuwaje mtu kama GWAJIMA anamtuhumu RAIS @SuluhuSamia kuhongwa PESA na Marekani ili kupigia CHAPUO Chanjo ya COVIDE19? Mko busy kuhujumu vyama vya upinzani na kumbambikia kesi ya Ugaidi @freemanmbowetz na kuacha huyu anayehatarisha usalama wa nchi?

Tatizo kubwa katika nchi hii ni kwamba sayansi inageuzwa kuwa siasa. Hakuna jamii iliyowahi kuendelea kwa kubeza sayansi na maarifa. Hakuna sababu ya kugomea chanjo huku ukiendelea kufa, lakini ieleweke kwamba chanjo zote duniani hata za watoto chini ya miaka 5 zina madhara. Kuna wengine hupata hadi vilema lakini tunaendelea kupeleka watoto clinic kwani tunaamini kwamba madhara kama yako chini ya asilimia 0.01 sio shida sana. Pili hawa vurusi wa Covid kwamjibu wa wataalamu wamagonjwa na tiba wanasema vinabadilika- mutate. Hivyo chanjo zinaendelea kuboreshwa kadri wanavyobadilika.

Tuheshimu sayansi na tusikilize wataalamu wanachosema na tuheshimu taalama za wenzetu, tusisikilize wanasiasa na matapeli wa kiroho aina ya Gwajima.


View attachment 1868346
Rubbish, magaidi kama ninyi ni punguani tu anayeweza kuwasikiliza. Bishop. Gwajima yuko sahihi kabisa.
 
Katika wote hapo uliowataja, sioni hata mmoja mwenye haiba ya kumbabaisha Samia. Apende tu yeye mwenyewe kujiweka katika hali hiyo kwa kukosa ujasiri na uwezo wa kuwa kiongozi.

Gwajima? Ana kitu gani huyo kichwani ni mtupu kabisa! Mama atishike na wafuasi wake huko kanisani?

Gwajima anao msingi upi ndani ya CCM, hata hii mbovu tunayoishuhudia kwamba watajipanga nyuma yake kupambana na mama!

Kelele nyingi tu zisizo na msingi ndizo zimtishe mama?

Ndugai na mwenzake Madilu, sina hata muda wa kupoteza kuwajadili hapa. Hawa ni watu wasiokuwa na nyuma wala mbele, wanayumbayumba tu.

Samia atayumbishwa kwa udhaifu wake mkubwa anaouonyesha waziwazi, hata hawa wapuuzi wanaanza kumchezea.
Cheche huunguza msitu!
 
Huyu ndugu GWAJIMA anashangaza sana.....

Huyu ndugu yetu GWAJIMA anatafakarisha Sana.....yaani anatafakarisha mno.......


Kwa kweli ANASTAAJABISHA....

Manesi na madaktari wetu wako mstari wa mbele katika KUTUUGUZA....sasa wao kwa wao wakishaajishiana WACHOMWE chanjo ,Gwajima ANAWAOMBEA WAFE KWA JINA LA YESU 😲😲😲

Manesi na madaktari wetu wakitushajiisha sisi wananchi tukachomwe CHANJO ,hatimaye Gwajima ANAWAOMBEA WAFE KWA JINA LA YESU 😲😲😲

Kwanini tunavitumia VITAKATIFU VYA MADHABAHU kueneza propaganda za "conspiracy theories"?!!!

MAPAMBANO DHIDI ya UVIKO 19 ni Vita KUBWA....iweje tunaanza kusalitiana katika uwanja wa MAPAMBANO ?!!

Hivi Gwajima hana ndugu aliyempoteza kutokana na huu UGONJWA?!!

Hivi Gwajima hana jirani ,rafiki aliyempoteza kutokana na UVIKO 19?!!

Hivi Gwajima hana mfuasi wake kanisani ambaye ameangushwa na UVIKO 19,na wafuasi wake hawana ndugu walio wahanga?

Hivi Jimboni KAWE hakuna mgonjwa wa UVIKO....hakuna aliyekufa kwa UVIKO ?!!!

Duuuh 😲😲😲

#ShimeTujiandaeTukachanjwe
#NchiKwanza
#TujilindeNaKulindaWengine
#KaziIendelee
😀 😀 😀 Unafikiri Gwajima ni kichwa maji kama wewe.
 
CHANJO HAZIJAANZA LEO
**************************

Huko nyuma kulipotokea MILIPUKO kama hii ,chanjo zilitengenezwa hivihivi.....baada ya kuthibitika ubora wake tu ZIKAANZA KUTUMIWA.....

Changamoto iko hivi...je tusubiri miaka mingapi ya kufanya majaribio ili tupate hiyo CHANJO BORA KABISA itakayoungwa mkono na akina Askofu Gwajima?!!!

Kazi ya CHANJO yoyote ni kuongeza NGUVU ya KINGA ZAKO ili ziweze KUPAMBANA na NGUVU YA UGONJWA......

Kuna jambo watu hawalielewi....hiyo chanjo inapoingia miilini mwetu ,miili yenyewe ndiyo INAYOZALISHA KINGA MADHUBUTI DHIDI YA UGONJWA HUSIKA.....inashangaza sana SAYANSI KUBAKWA NA SIASA 🤣🤣🤣🤣🤣

#ShimeTujiandaeKuchanjwa
#NchiKwanza
#KaziIendelee
 
Ndiyo maana tunasema hicho chama Cha kinafiki, hakuna kiongozi yeyote wa serikali aliye Pinga Kinga ya Covid kuletwa, wote wanasema ije ila kabla haijaanza kutumika wataalamu wetu wajiridhishe Kama kweli ndiyo Kinga kusudiwa, na Hilo ni la muhimu sana, ww usidhani Kinga watakayo pewa Marekani Ina ubora sawa na itakayo kuja Tz, Acha kuchonganisha viongozi na Rais,

Kuhusu alicho sema Gwajima kwamba watu wanapewa Rushwa na Bill.. Yeye direct kwa speach hiyo alimlenga Gaidi, na ukumbuke Gaidi yy alipo Rudi tu kutoka alipo kuwepo ndipo akaanza harakati za kuhimiza chanjo, na juzi mwanza kadiriki kusema iwe lazima, Sasa mtu Kama huyo utamuelewaje?
Ile saccos imejaa magaidi watupu, wachumia tumbo Wanataka kutuuza mchana kweupe kwa mabeberu.
 
Mwacheni mama aongoze anavotaka. Nyie CDM achaneni urafiki na CCM, ingieni barabarani tupate katiba mpya maana na gaidi mmeshamsahau jela.
 
Acha ujinga dogo!

Kwamba yote hayo uliyoyataja Samia kashtukia tu yamefanyika?

Sasa kwanini asiingilie yeye kama rais?

Unajua chadema wengi hamna akili! Toka kipindi cha JPM tulikuwa tunawambia huo ni mfumo, ambao umeongoza nchi toka Nyerere. Sasa yanapotekea haya mnanaza kumtetea Samia kwamba siyo yeye ila kuna watu wamemzunguka. Pumbavu kabisa
Sawa MATAGA
 
😀 😀 😀 Unafikiri Gwajima ni kichwa maji kama wewe.
Mtu hujulikana UKICHWA MAJI wake pale tu AFUNGUAPO MDOMO KUONGEA....pale tu aandikapo maandishi....

Hongera kwa kuugundua UKICHWA MAJI WANGU 👍

#NchiKwanza
#KaziIendelee
 
Ukimsikiliza Ndugai wa leo sio yule wa miezi miwli nyuma kipindi Mama Samia anashika madaraka, huyu wa sasa amerejea kwenye jeuri na kejeri zilezile za utawala wa Magufuli, Anauhakika na anakokwenda. Ukimsikiliza Mwigulu wa sasa, sio yule wa mwanzo wa utawala wa Mama Samia, Mwigulu wa sasa ana jeuri, kibri na dharau iliyovuka mipaka ya siasa za Dar es Salaamu.

Sasa mwangalie na msikilize mpiga filimbi mdini na mkabila aliyekubuhu wa utawala uliopita bwana Josephat Gwajima, huyu si kwamba anampinga tu Rais Mama Samia, Bali amevuka mipaka na kumtuhumu Rais wa nchi kwamba kahongwa pesa na Marekani ili Marekani iuze chanjo nchini. Genge la utawala uliopita wanaamini Samia ni rais wa Mpito sio rais wa "Awamu". Wanaamini rais wa mpito anakoma 2025 na kwamba mipango yao ya kuwania urais haitaharibiwa na urais wa mpito wa Samia.

Awali kabisa tulionya tukitaka Rais mpya Mama Samia aunde serikali yake badala ya kuendeleza serikali ya mtangulizi wake ambayo ilijengwa mfumo hatari na wa kiharamia kwa miaka zaidi ya mtano. Mfumo huo huwezi kuubomboa kwa kubadili mtu mmoja ambae ni rais tu, bali kuivunja serikali nzima na kuunda serikali mpya.

Kwakuwa siasa ya Dar es Salaam ambako kuibuka kwa nguvu na mtu na kuanguka ni jambo lisiloshangaza, Mfumo uliounda serikali iliyopita bado unanguvu kubwa sana ya kimaamuzi, Pengine lilikuwa kosa kubwa sana la karne kwa Mama Samia kuamua kuendesha nchi kwakutumia mfumo wa serikali iliyopita, Huenda ilikuwa kwa nia njema ama kosa la kimahesabu, kwasasa ni vigumu kujinasua, kinyume chake unajikuta umezungwa na ma spinning doctors hata kama una mamlaka kikatiba lakini wenzio wanakukamata kisiasa, michezo kama blackmails ndio inayouteka utawala mpya. Kundi la wahafidhina limefanikiwa kubaki kwenye mfumo,

Juhudi za Rais wa nchi kupambana na corona kwakufuata masharti ya Shirika la Afya dunia, sasa zinapingwa waziwazi na kundi la utawala uliopita ambalo msimamo wao juu ya janga la corona ulikuwa ni wa kijadi zaidi hali iliyopelekea watu wengi kupoteza maisha katika nchi. Kuhusu Chanjo kwa Tanzania inatakiwa serikali isimame wima itoe elimu ya haraka na ya lazima umuhimu na usalama wa chanjo husika.

Jamii iliharibiwa vibaya sana na Rais Magufuli alipotangaza hadharani kuwa chanjo ya corona haifai, Wazungu hawawapendi Watanzania na tuhuma nyingi lukuki, Leo jamii inamwamini Magufuli kuhusu chanjo, sifiriki kwamba Watz wengi watajitokeza kuchanjwa. Badala ya serikali kutangaza tu kuleteta chanjo, iingie mtaani kutoa elimu na kuhamasisha watu wakachanjwa haraka iwezekanavyo.

Mama Samia, vita vya ndani yako ni vikubwa kuliko hivi vya nje ulivyovianzisha, Wenzio wanakusakizia upigane na wapinzani nje huku wanakumaliza ndani, Ya Joyce Banda yanakugonja. Patana na wapinzani ili ushinde vita vyako vya ndani kirahisi. Vita vya nje hutapigana na Chadema tu, utapigana na dunia nzima hata wanaofadhili bajeti yako watakupiga pia na HAUTASHINDA, wewe ni shahidi wa namna Magufuli alivyopitishwa katika magumu alipoamua kutaka kuua upinzani nchini, hakupigana na Chadema tu, alipigana na dunia nzima akaliumiza taifa na akashindwa yeye. Chadema ipo na itaendelea kuwepo.

Idara ya Usalama wa Taifa, Jeshi la Polisi na vyombo vingine vya ulinzi, inakuwaje mtu kama GWAJIMA anamtuhumu RAIS @SuluhuSamia kuhongwa PESA na Marekani ili kupigia CHAPUO Chanjo ya COVIDE19? Mko busy kuhujumu vyama vya upinzani na kumbambikia kesi ya Ugaidi @freemanmbowetz na kuacha huyu anayehatarisha usalama wa nchi?

Tatizo kubwa katika nchi hii ni kwamba sayansi inageuzwa kuwa siasa. Hakuna jamii iliyowahi kuendelea kwa kubeza sayansi na maarifa. Hakuna sababu ya kugomea chanjo huku ukiendelea kufa, lakini ieleweke kwamba chanjo zote duniani hata za watoto chini ya miaka 5 zina madhara. Kuna wengine hupata hadi vilema lakini tunaendelea kupeleka watoto clinic kwani tunaamini kwamba madhara kama yako chini ya asilimia 0.01 sio shida sana. Pili hawa vurusi wa Covid kwamjibu wa wataalamu wamagonjwa na tiba wanasema vinabadilika- mutate. Hivyo chanjo zinaendelea kuboreshwa kadri wanavyobadilika.

Tuheshimu sayansi na tusikilize wataalamu wanachosema na tuheshimu taalama za wenzetu, tusisikilize wanasiasa na matapeli wa kiroho aina ya Gwajima.


View attachment 1868346
Umeandika PUMBA tu,unaleta utetezi wa watu mlokua mnaimba nyimbo za mapambio KWA mama anayeupiga mwingi baada ya kuona mambo hayaendi.

Hivi yeye mama Samia anashindwa kuweka wote pembeni awateue nyinyi na Msoga troops muongoze Ili tuone hyo serikali ya kutoka heaven inavyokua?

Wajinga kama nyinyi mpo wengi mnaoamini;

Sabaya kukamatwa na polisi ni sawa,mbowe si sawa KWA polisi haohao.
Mahakama kushinda wapinzani sawa,akishinda serikali Mahakama haina haki.
Nyinyi KWA upumbavu wenu ndo MNAAMINI Mama SSH siyo mwenye maamuzi ya mwisho,ila JPM ndo maamuzi ya mwisho akampiga risasi lisu.

Nyi ni wajinga sanaaaa.


Nyinyi ndo mliimba lowasa FISADI miaka yote,lastly akaja kua Mgombea wenu na kuanza kugombana na wananchi waliowahoji kuhusu maneno yenu ya mwanzo huku mkiamini ni wapinzani wenzenu wa CCM.

Nyinyi ndo mliwapokea na kuwaunga mkono kina Sumaye,Nyalando,kina masha,kingunge,mwapachu na mafisadi kibao nchi hii na kuwapaka mafuta ya kunukia Ili wanukie vizuri ktk jamii.

Nyinyi ni wahuni kama wahuni wengine ndani ya nchi hii,tena ni vision nyumbu wepesi wa kusahau huku mkimtumikia dereva wa anga pale anapopiga gia za angani
 
Acha ujinga dogo!

Kwamba yote hayo uliyoyataja Samia kashtukia tu yamefanyika?

Sasa kwanini asiingilie yeye kama rais?

Unajua chadema wengi hamna akili! Toka kipindi cha JPM tulikuwa tunawambia huo ni mfumo, ambao umeongoza nchi toka Nyerere. Sasa yanapotekea haya mnanaza kumtetea Samia kwamba siyo yeye ila kuna watu wamemzunguka. Pumbavu kabisa
Wajinga sana
 
Umeandika PUMBA tu,unaleta utetezi wa watu mlokua mnaimba nyimbo za mapambio KWA mama anayeupiga mwingi baada ya kuona mambo hayaendi.

Hivi yeye mama Samia anashindwa kuweka wote pembeni awateue nyinyi na Msoga troops muongoze Ili tuone hyo serikali ya kutoka heaven inavyokua?

Wajinga kama nyinyi mpo wengi mnaoamini;

Sabaya kukamatwa na polisi ni sawa,mbowe si sawa KWA polisi haohao.
Mahakama kushinda wapinzani sawa,akishinda serikali Mahakama haina haki.
Nyinyi KWA upumbavu wenu ndo MNAAMINI Mama SSH siyo mwenye maamuzi ya mwisho,ila JPM ndo maamuzi ya mwisho akampiga risasi lisu.

Nyi ni wajinga sanaaaa.


Nyinyi ndo mliimba lowasa FISADI miaka yote,lastly akaja kua Mgombea wenu na kuanza kugombana na wananchi waliowahoji kuhusu maneno yenu ya mwanzo huku mkiamini ni wapinzani wenzenu wa CCM.

Nyinyi ndo mliwapokea na kuwaunga mkono kina Sumaye,Nyalando,kina masha,kingunge,mwapachu na mafisadi kibao nchi hii na kuwapaka mafuta ya kunukia Ili wanukie vizuri ktk jamii.

Nyinyi ni wahuni kama wahuni wengine ndani ya nchi hii,tena ni vision nyumbu wepesi wa kusahau huku mkimtumikia dereva wa anga pale anapopiga gia za angani
Nafikiri wewe ndio mjinga mkubwa.
 
Kosa Kubwa Ni vile Mama alicopy wale wale watu ambao waliumiza sana Wananchi wenzao...wengine anawajua kwa karibu zaidi hivi kweli Mh Rais Hujui Ubaya wa Joseph Malongo??? Hujui mabaya aliyotenda pale ofisini kwako??? Hujui uzushi aliozushia watumishi pale huku akitamba wazi yuko karibu na Mh Magufuli?? Na akisema yeye ni seniour.

LAKINI BADO yuko Serikalini...Ungeunda Serikali yako hawa watakuchanganyia madesa..fukuza hawa watu.

Samia ni zao la serikali ile ile kwahiyo huu ni muendelezo wa ubabe hakuna jipya.
 
Namuomba Mheshimiwa SAMIA amchukulie hatua za kinidhamu huyu Gwajima.
"Unasema rais anashadadia"!!!!

Huwezi kutumia lugha ya kejeli namna hii kwa rais.
Gwajima,ndugai ni sukuma gang Wana mwona Rais ni dhaifu ndo Mana wanajiropokea, ila Rais akiamua kuwanyoosha watajua, hajui wamuulize mbowe Sasa hivi
 
Back
Top Bottom