Rais Samia, Bado hujaona hili ni tatizo tu?

inawezekana anawaogopa sukuma gang...laiti angenipa urais kwa masaa sita tu ndipo wangejua kwa nini utingo ni mtu muhimu sana wakati wa safari
Hahaha...Utingo heshima kwako boss
 
Waziri mkuu nwenyewe yuko kimwili ila kiakili hawako pamoja, mama alibug kurejesha baraza la mwendazake na hao Wana mhujumu hadharani na kumharibia hata huyo gwajima katumwa, ikiwemo msukuma, mama asionee mtu soni akicheka na nyani atavuna mabua
 
Ndugu unaongea kama upo usingizini.Napenda nikuulize maswali machache tu .1.Je, wakati wa Magufuli,alikuwa makamu wa Rais wa Uganda au Tanzania? 2.Je,mama Samia alich
Ndugu ,inaonekana uwezo wako wa kufikiria ni mdogo sana.Hata vitabu unavyoandika inaonekana una copy tu.Naomba nikuulize maswali yafuatayo.1.Mama Samia ,wakati wa JPM alikuwa makamu wa Rais wa Tanzania au Uganda?2.Unadai kuwa JPM aliumiza watu.Je mama Samia hakuumiza watu?3.Je ,hiyo sayansi hata ikiwa feki au sumu uwe Zombi, ww unaikubali tu?4.Kwann Mbowe ni mwenyekiti wa kudumu wa cdm?5.Wewe na cdm hamkuyakubali matokeo ya uchaguzi 2020.Leo unawashauri tena ambao haukuwakubali?Mbona cdm MNA siasa ndumilakuwili?
 
Waziri mkuu nwenyewe yuko kimwili ila kiakili hawako pamoja, mama alibug kurejesha baraza la mwendazake na hao Wana mhujumu hadharani na kumharibia hata huyo gwajima katumwa, ikiwemo msukuma, mama asionee mtu soni akicheka na nyani atavuna mabua
Mwambieni awatimue wote na yy mwenyewe si alikuwemo kwenye serikali ya Magu (may his precious soul rest in eternal peace and power our great African hero 💔 Hon Dr JPM 🙏 amen), ajitimue na yy mwenyewe! Maana naye ni zao la JPM!
 
Nachoka kuona hoja za kitoto kama hizi. Serikali imesema kwa hiari sasa mnapata shida ipi msiende kuchanja wengine tutachanja period.
 
Gwajima katwambia kuwa kundi moja lililopendekezwa kuchanjwa kwa lazima ni Majeshi, japo naamini kasema hayo kwa nia njema, Jamaa kawapa hint vyombo vya ulinzi na Usalama kuwa Chanjo haifai, Sasa kama huku siyo kutengeneza mazingira majeshi kuigomea serikali ni nini?
 
 
Kwani mama Samia ametokea serikali gani. Basi na yeye ajiuzulu tu kwasababu bado naye ni kutoka serikali ya awamu ya tano. Acheni kudhani kuwa mama Samia katoka sayari Mars. Mama Samia ni mwendelezo wa serikali ya JPM na yawezekana akawa na misimamo hiyo ya JPM. Nyinyi mnafikiri yuko tofuati
 
Hii post nilichojifunza ina chadema wengi sana. Na mama akicheza ngoma ya chadema atapoteana sana
 
Fitina

Kwa akili yako Yericko unaamini Samia hana uwezo wa kujua kua ulichoandika hapa ni Fitina?

Ni kwa kiasi gani umemdharau raisi wa nchi!
 
Yericko mbona kuna wakati unakuwa kama sio mtu makini? Kwani sio kweli kwamba mama ni Raisi wa muda kutokana na dharura ya msiba? Ni nani alimpigia kura? Na je wewe umepanga aendelee mpaka lini zaidi ya 2025? Na je wewe unaona mtu ambaye akiwekwa na wagombea wengine kuwania nafasi hiyo bila mizengwe atawashinda kweli? Je, unadhani kwa rajua tuliyo nayo Nchi huyu mama anao uwezo pasipo shaka yoyote kuwa atatuvusha?
 
Nadhani Rais hajachelewa Sana Felix Chisekedi alivunja Ushawishi wa Kabila baada ya miaka 2 ,Mama arudi haraka kwa JK amsaidie kusuka system yake kuanzia kwenye usalama,ndani ya chama,Serikalini afu kwa Wananchi kutaji set kwenyewe.
Huyo Chisekedi ni bure kabisa hafai kuwa wa mfano.
Ameendeleza hila za Kabila kwa wapinzani wa kweli wa Kabila.
Ametunga mswada wa sheria ya kuzuia raia wa nchi yake ambaye mzazi wake mmoja siyo raia wa Kongo lengo likiwa kumzuia Moise Katumbi asigombee uraisi uchaguzi ujao.

Watanzania tutafute taarifa na maarifa kabla ya kushabikia watu na mambo yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…