Rais Samia, Bado hujaona hili ni tatizo tu?

Ndugu yangu Yeriko, ukiweka kando ukada, unaandika vitu vya msingi sana. Kongole kwa bandiko hili 👌
 
Tukiwa wakwel kabisa tukaacha unafiki, tukaacha kuogopana na kutishana, chanjo si suluhisho, na Wala haitakuwa suluhisho, there is hidden agenda ahead/btn.
 
Ni sawa ulitaka amruhusu Ili iwaje? Rwanda waendelee kula mali ya DR Congo?
 
Hhh' haaaa!

Ulichokiandika ni kweli.
 
Ayubu alikua spika wa redio Chato, anajua siri nyingi za ndani na ndiyo anapata kiburi cha kumuonyesha madam kuwa hambabaishi.
Hao wabunge wote aliowaingiza Magufuli ndani ya Bunge, naAyubu mwenyewe, leo hii Samia Mwenyekiti akisimama na kuwaamuru wamtupilie mbali huyo kikaragosi wa Mwendazake hazipiti dakika tano Ayubu ananywea kwa aibu.

Hakuna mbunge hata mmoja atakayepinga kumwondoa spika wakati wowote ndani ya bunge lile.
 
Hivi PM alisha teuliwa upya au anaendelea na kiapo cha awali?
 
Msitafute wachawi. Kama mama anarembulia walipa kodi na kuwchia watu wafanye watakavyo asubiri maumivu maana mziki bado
 
Umeandika utumbo kaka.!
 
Ww mpuuzi kama walivyowapuuzi wengine! Serikali ya awamu ya 5 unayoiita ya udharimu huyo mama yako hakuwemo? Acha ujinga wa kuweka kabali/wedge, hutafanikiwa!
Mungu ibariki Tz!
Acha unafiki Mungu hawezi ibariki nchi yenye wajingawengi kama wewe
 
Tatizo ccm wamechanganya siasa na corona na hii mijitu kamwe haiaminiki,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…