Rais Samia: Bei ya mafuta Tanzania ni rahisi kuliko Marekani


Vyote ni sawa tu mkuu..

Kalamu ya kuandikia UK ni pound tatu hio ni shilingi elfu 9 sasa mtanzania hio bei ndio ya kula siku tatu…wapi na wapi…jamani tukubali tu tumepigwa na kitu kizito chenye ncha kali….

Na watanzania tulivyo wapole sasa…
 
Hapo kwa viongozi kufanya biashara katiba yetu hairuhusu
 
Wastani wa kipato cha Mtanzania mmoja kwa mwezi 500K na litre ya mafuta ni Tzs 3,184 wakati wastani wa kipato cha Mmarekani wa hali ya chini ni 11M kwa mwezi wakati gallon ya mafuta ambayo ni sawa na litre 3.4 ni USD 5.

Sasa hapo nani mwenye nafuu?
Hangaya halijui hilo.
 
Anaupiga mwingi anafungua nchi mama yuko vizuri ....hayo mengine hajui anajua bei US ni juu kuliko hapa full stop.
 
Labda hawakumwambia kuwa Marekani mafuta yanauzwa kwa galoni na siyo lita. Na galoni moja ni dola 4.20 kwa sasa. Galoni moja ina lita karibia 4. Apige mahesabu sasa aone kama anachokiongea ni sahihi ama la!
 
Wastani wa kipato cha Mtanzania mmoja kwa mwezi 500K na litre ya mafuta ni Tzs 3,184 wakati wastani wa kipato cha Mmarekani wa hali ya chini ni 11M kwa mwezi wakati gallon ya mafuta ambayo ni sawa na litre 3.4 ni USD 5.

Sasa hapo nani mwenye nafuu?
 
Sasa Uwezo wetu wa kununua ni Sawa na Marekani?? Mama mm sisemi unashauriwa vibaya mana mengine wewe mwenyewe unatakiwa uelewe...Marekani Tujiringanishe nae kwa kipi hasa hata Ukiona Barabara zao ni kama zetu??? Huduma zao za afya ni kama hapa??
Haya ndio tungejilinganisha nao sio kwenye maumivu kama haya ya mafuta..Kule marekani Mlinzi analipwa kwa masaa 8 hapa mtu ni siku 30 na Tucta ndio hiyo ni zero plus.
 
Kule wanauza kwa galoni na sio kwa lita wajameni
 

Rais Samia Bei ya mafuta itamfanya akimbie nchi​

 
Mama kwingine credit zinapungua ujue
Vitu vya facts huwa anapishana navyo Sana. Kama Jana alikua anakataa Tanzania hatuishi kwa dola moja, Sasa sababu alizotoa unaweza zimia.
 
Per litter bei iko hivi.

Tanzania - $1.354
Kenya - $1.245
US - $1.210
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…