Huyu mama huyu !!!! ??????
Nimeishi UK, kule kila kitu gharama nguo, viatu kodi ya pango n.k. , Ila kipato changu nilichokuwa napata kule kwa wiki kwa kazi hio huku hata kwa mwaka huenda nisingepata..., (yaani hapo naongelea unskilled labor bado sijaongelea professional jobs)
Hivi haya anayasema kama siasa, kukosa uelewa au anatudharau (insulting our intelligence)
Vyote ni sawa tu mkuu..
Kalamu ya kuandikia UK ni pound tatu hio ni shilingi elfu 9 sasa mtanzania hio bei ndio ya kula siku tatu…wapi na wapi…jamani tukubali tu tumepigwa na kitu kizito chenye ncha kali….
Na watanzania tulivyo wapole sasa…