Bado Bei ya mafuta USA ipo chini kulingana na Tz, mama kakoseaMsisahau hata kama kipato cha USA kipo juu pia ni wazalishaji ilipaswa hii bidhaa iwe chini zaidi kwa USA compared to Tanzania.
Au sababu kipato kipo juu ndo mtu anunue pipi ya TZS 50 kwa TZS 50,000?
Hakufanya research ya kutoshaChief Hangaya analinganisha nchi zisizolinganishika. Marekani hata bei ya rejareja ya soda au maji ni $0.99. Generally, kwa Mmarekani, kukupa $1 ni rahisi kama ilivyorahisi kwa Mtanzania kukupa Tshs. 100/=.
Pamoja na hayo, alichosema ni uongo wa mchana kweupe! Average prices za leo, May 4, 2022, per gallon (1gal=3.785 liters) ni hizi hapa chini. View attachment 2211169
Umeandika nini na mimi nimejibu nini ? ebu naomba urudi kusoma nilichoandika alafu urudi hapa tuendelee na mjadalaGharama ukifananisha na nani, inawezekana uchumi wao ndio unaruhusu vile. Yawezekana millioni 2 ninayoipata mimi kwa mwezi mzima hiyo ni pesa ya mfanyakazi wa US kwa masaa 12 aliyofanya kazi kwa siku.
Mh Uliona WapiOf course ni magumu ukiacha kwenye upatikanaji wa huduma za afya ila kwenye chakula na malazi tuko vizuri kuliko wao.
UMEMALIZA..Mtakuwa mnamsingizia Rais hawezi ongea hivyo
Yani alinganishe bei ya Mafuta ya marekani na hapa bila kuoanisha uchumi wa hizi pande mbili?
Siamini. Kama ni kweli ametamka hili basi anapaswa kuwa mama wa nyumbani na si Rais wa nchi
Na hata akiwa mama wa nyumbani lazima awe Single mother.
[emoji23][emoji23][emoji419]
Uhuru gani wewe??? Huu ujinga unaendelea hapa nchini ww unaleta hekaya siziso na mantikiUhuru una mipaka, tumia vzr uhuru wako. Jenga hoja utasikizwa.
Njia ni nyingi ndugu, No1.kubwa zaidi ni kupunguza au kufuta baadhi ya Kodi ktk Bei ya mafuta. Ktk kila Lita moja ya mafuta Kuna Kodi zaidi ya 15. No.2. Ni bulk purchasing. Au kuinunua mafuta Kwa wingi na kutunza ktk maghala kudhibiti mfumuko na kudhibiti uhaba. No 3. Ni kuinunua mafuta crude au mazito na kuja kuyasafisha huku, mafuta hayo ni Bei mdogo. No.4 Ni kuzuia viongozi wa Serikali kumiliki vituo vya mafuta. Hapa tunavyolalamika nakuhakikishia Kuna watu pesa kwao zinaingia Kwa mabilioni. Kuna kiongozi mmoja ana vituo vya mafuta Nchi nzima havina idadi. Unadhan Bei itapoa? KATIBA MPYA ndo inaandikwa hivyo maana ndo itatatua hayo.Utatuzi gani unaoutaka wewe? Kwani kuendesha Nchi ni ishu ya mafuta pekee? Hilo la mafuta lipo Tanzania tuu?
Wewe mwenye maarifa tupe utatuzi.
AsanteN
Njia ni nyingi ndugu, No1.kubwa zaidi ni kupunguza au kufuta baadhi ya Kodi ktk Bei ya mafuta. Ktk kila Lita moja ya mafuta Kuna Kodi zaidi ya 15. No.2. Ni bulk purchasing. Au kuinunua mafuta Kwa wingi na kutunza ktk maghala kudhibiti mfumuko na kudhibiti uhaba. No 3. Ni kuinunua mafuta crude au mazito na kuja kuyasafisha huku, mafuta hayo ni Bei mdogo. No.4 Ni kuzuia viongozi wa Serikali kumiliki vituo vya mafuta. Hapa tunavyolalamika nakuhakikishia Kuna watu pesa kwao zinaingia Kwa mabilioni. Kuna kiongozi mmoja ana vituo vya mafuta Nchi nzima havina idadi. Unadhan Bei itapoa? KATIBA MPYA ndo inaandikwa hivyo maana ndo itatatua hayo.
Ni Kweli tupaze sauti Kwa hoja na tutoe solution ya hayo. Matusi yatawafanya wasijue wamekosea wapi ndo maana Kuna wengine wanasema Eti tunawaonea WIVU wao kuwa mawaziri.Uhuru gani wewe??? Huu ujinga unaendelea hapa nchini ww unaleta hekaya siziso na mantiki
Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kua bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.
Rais anasema juzi alikua Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.
Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.
Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kua watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.
Kupata USD 2.00 US ni rahisi kuliko kupata Tshs 3000 Tanzania. Actually kila kitu ni rahisi Tanzania kuliko US. Hiyo haitufabyi tuwe na maisha nafuu kuliko America. Inaelekea Rais amejua hayo baada ya kusafiri this time around. Kila kitu anachozungumza ni America, America, America. Ndiyo maana tunasema Exposure, exposure, exposure.Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kua bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.
Rais anasema juzi alikua Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.
Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.
Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kua watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.