Rais Samia: Bodaboda ni watoto wangu nitakwenda nao 2025

Rais Samia: Bodaboda ni watoto wangu nitakwenda nao 2025

Hamna anae penda mtoto wake awe dereva wa boda boda, achani kumanipulate hao watu kwasbb ya political capital.....mtafutie wstoto wa wenzetu ajira za maana.
Kauli mbovu mbovu kama hizi ndizo zilizoua kilimo, kuna baadhi ya wazazi huko nyuma waliona kilimo ni kama kazi ya laana matokeo yake kizazi na kizazi vijana hawapendi kilimo, kama kuna mzazi hapendi mwanae afanye kazi yoyote halali yenye masilahi hakika mzazi huyo ni mpumbavu!
 
Kauli mbovu mbovu kama hizi ndizo zilizoua kilimo, kuna baadhi ya wazazi huko nyuma waliona kilimo ni kama kazi ya laana matokeo yake kizazi na kizazi vijana hawapendi kilimo, kama kuna mzazi hapendi mwanae afanye kazi yoyote halali yenye masilahi hakika mzazi huyo ni mpumbavu!
🤣🤣🤣 Yani unafananisha bodaboda na kilimo??
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema anatambua kundi la vijana waliojiajiri kupitia bodaboda na yuko tayari kwenda nao mpaka 2025. Rais Samia Suluhu alizungumza hayo aliposimama kuzungumza na wakazi wa Usa River wilaya ya Arumeru mkoani Arusha.

Vijana hao wa Bodaboda walionyesha kumuunga mkono Rais Samia na kusindikiza Msafara wake kuelekea Usa River kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi, baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Faragha wa Mawaziri, Naibu Mawaziri. Aidha bodaboda .

Madereva bodaboda wamesisitiza kazi yao sio ya laana lakini pia wameishukuru serikali ya Rais Samia kwa kuendelea kuwapa mikopo inayowawezesha kuwekeza kwenye shughuli nyingine kama kilimo na biashara.

FqdPZRCXgAEBpec

Image
Cheap politics, yajayo yanachekesha.

Vichwa tushaona mchezo unaochezwa hapa, nalog off.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema anatambua kundi la vijana waliojiajiri kupitia bodaboda na yuko tayari kwenda nao mpaka 2025. Rais Samia Suluhu alizungumza hayo aliposimama kuzungumza na wakazi wa Usa River wilaya ya Arumeru mkoani Arusha.

Vijana hao wa Bodaboda walionyesha kumuunga mkono Rais Samia na kusindikiza Msafara wake kuelekea Usa River kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi, baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Faragha wa Mawaziri, Naibu Mawaziri. Aidha bodaboda .

Madereva bodaboda wamesisitiza kazi yao sio ya laana lakini pia wameishukuru serikali ya Rais Samia kwa kuendelea kuwapa mikopo inayowawezesha kuwekeza kwenye shughuli nyingine kama kilimo na biashara.

FqdPZRCXgAEBpec

Image

CCM bhana mbona bado wana siasa za mapichapicha hawa, Bodaboda wamewapanga na kuwatengenezea mabango ili kumdanganya Rais, bado Bodaboda sio kazi
 
..nazungumzia wanaotumia v-8 sasa hivi, lini wataziachia na kuanza kutumia bodaboda?

..kuthibitisha yuko na bodaboda Maza alitakiwa ashuke kwenye v-8 na kupanda bodaboda.
Akipanda watamwangusha, petrol Ina madhara makubwa kwenye UBONGO wa mwanadamu,

Tanks za mafuta kwenye boda zingerudishwa nyuma kuwanusuru boda na Mawenge.

CCM wamezoea cheap politics.
 
Samia anatumia vibaya umama wake. Badala awe Rais wa nchi yeye anajikuta kuwa mama wa wananchi.
Bodaboda sio watoto wake wala wadogo zake, wanae wana ajira serikalini, mmoja kamuozesha kwa Waziri aliyehamishwa wizara nne ndani ya miaka miwili, mwingine alikuwa na tuhuma za kukwepa kulipa kodi kwenye biashara pale Kariakoo na mwingine alichaguliwa UVCCM. Wengine sijui wako wapi ila probably hawaendeshi pikipiki.

Hana undugu nao, kwanza unaweza kuta hajawahi panda hata hiyo bodaboda.
 
🤣🤣🤣 Yani unafananisha bodaboda na kilimo??
Sio kilimo tu na shuhuli zingine halali zinazochangia vipato Kwa watu, babu Yako Yule mkimbizi wa mchongo hata tunaosajili laini katupiga na kitu kizito kichwani eti na sie tumelaaniwa
 
Sio kilimo tu na shuhuli zingine halali zinazochangia vipato Kwa watu, babu Yako Yule mkimbizi wa mchongo hata tunaosajili laini katupiga na kitu kizito kichwani eti na sie tumelaaniwa
😂😂😂 yani unaona kuendesha bodaboda ni sawa na kufanya kilimo ???
 
Daaah hivi hawa watu wa kuwashikisha mabango namna hiyo huwa wanawaokota wapi? Hao watu huwa wako timamu kichwani?
 
Back
Top Bottom