Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
🤣🤣🤣🤣hakuna Habari hapo.. Director yuko pembeni kashavuta mpunga mrefuEt! Wana akili gani za kutengeneza bango la aina hiyo na ujumbe huo!
Move ya Kanumba hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣hakuna Habari hapo.. Director yuko pembeni kashavuta mpunga mrefuEt! Wana akili gani za kutengeneza bango la aina hiyo na ujumbe huo!
Move ya Kanumba hii
Acha wajichanganye kuhangaika na wanasiasa!!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema anatambua kundi la vijana waliojiajiri kupitia bodaboda na yuko tayari kwenda nao mpaka 2025. Rais Samia Suluhu alizungumza hayo aliposimama kuzungumza na wakazi wa Usa River wilaya ya Arumeru mkoani Arusha.
Vijana hao wa Bodaboda walionyesha kumuunga mkono Rais Samia na kusindikiza Msafara wake kuelekea Usa River kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi, baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Faragha wa Mawaziri, Naibu Mawaziri.
Aidha madereva bodaboda wamesisitiza kazi yao sio ya laana lakini pia wameishukuru serikali ya Rais Samia kwa kuendelea kuwapa mikopo inayowawezesha kuwekeza kwenye shughuli nyingine kama kilimo na biashara.
![]()
![]()
Ana point ila alivyoiwakilisha ni kimakosa sana.Lema atumie akili kujenga hoja kisiasa, sio kuropoka. Watu wameshachukua point 3 muhimu hapo. Hii ni siasa
Mnatumika na ccm Ili mzidi kuwa masikiniMkuu boda boda hazijaanzia huku mzee baba zipo mpaka ulaya yoote,china wana maendeleo na wako juu kuliko sisi ila wanatumia boda boda tena ya baiskeli na wala sio wnafanya mazoezi hapana ni ukosefu wa ajira na family zao zinakwenda MSALANI.
Wewe kama umebahatika kupata hiyo ajira hacha kudharau wenzio wanaume tunapambana huku mtaani na maisha yanaenda tu.
Vijana wa chadema mjifunze namna ya kuwa mnawakilisha hoja zenu vinginevyo mtaishiwa kudanganywa na ccm na nyie mtanasa mitegoni kwao
(Angalia hii LEMA anayeishi nje ya nchi analipwa pesa ya ukimbizi kaja anasema Boda boda ni Laana..mwenye nchi anasema boda boda ni kazi na atawakumbatia mpaka 2025,na kinachofata hapo watapewa mikopo)2025 mnapoteza kura kwa hao maboda boda then mnarudi mtaani kusema hamtambui uchaguzi na mama hamumtambui pia.
Hao ni ccm tena wachache mnoHao bodaboda au ccm
Sasa si bora tubaki na ccm kuliko kuwa na chama wala hakina msimamo....hela za Ruzuku wamepewa wamekula peke yao tena kimya kimya.Mnatumika na ccm Ili mzidi kuwa masikini
Kuna bodaboda wengi tu wanalima pia,, hao vijana wana akili usiwachukulie poaKauli mbovu mbovu kama hizi ndizo zilizoua kilimo, kuna baadhi ya wazazi huko nyuma waliona kilimo ni kama kazi ya laana matokeo yake kizazi na kizazi vijana hawapendi kilimo, kama kuna mzazi hapendi mwanae afanye kazi yoyote halali yenye masilahi hakika mzazi huyo ni mpumbavu!
Vipi kazi za kuokota machupa, nayo ni laana? 😆Unasomesha mtoto wako kwa matarajio aje kuwa bodaboda???
“Baba nikiwa mkubwa nataka kuwa bodaboda “
Jibu kama mzazi hapa.
Serikali unataka iwabebe mgongoni ndo ujue inajitahidi kuwakwamua?,, Mikopo inatoka kila siku,, hivi mababu zetu wangekua wanakaa tu mapangoni na kulaumu watawala wao hii dunia ingeendelea kweli?,..kuna waendesha bodaboda na wamiliki wa bodaboda.
..vijana waendesha bodaboda wana hali ngumu ya kipato, afya zao zinaathirika, na serikali haifanyi jitihada zozote kuwakwamua.
Lema Ni mpumbavu siku zote ona Sasa mam na ccm walivyokula point tatu nzitoLema atumie akili kujenga hoja kisiasa, sio kuropoka. Watu wameshachukua point 3 muhimu hapo. Hii ni siasa
Mtoto gani wa Samia ni dereva wa bodaboda? Bodaboda ni mtaji wa wanasiasaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema anatambua kundi la vijana waliojiajiri kupitia bodaboda na yuko tayari kwenda nao mpaka 2025. Rais Samia Suluhu alizungumza hayo aliposimama kuzungumza na wakazi wa Usa River wilaya ya Arumeru mkoani Arusha.
Vijana hao wa Bodaboda walionyesha kumuunga mkono Rais Samia na kusindikiza Msafara wake kuelekea Usa River kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi, baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Faragha wa Mawaziri, Naibu Mawaziri.
Aidha madereva bodaboda wamesisitiza kazi yao sio ya laana lakini pia wameishukuru serikali ya Rais Samia kwa kuendelea kuwapa mikopo inayowawezesha kuwekeza kwenye shughuli nyingine kama kilimo na biashara.
![]()
![]()
Serikali unataka iwabebe mgongoni ndo ujue inajitahidi kuwakwamua?,, Mikopo inatoka kila siku,, hivi mababu zetu wangekua wanakaa tu mapangoni na kulaumu watawala wao hii dunia ingeendelea kweli?,
Kuna kazi nyingi tu hazihitaji hata mtaji,,
Kulima, kupalilia, kukusanya mchanga na kuuza, kufyatua tofali na kuchoma kisha kuuza, kuponda kokoto, kukusanya chupa za plastic na kuuza viwandani, kufua nguo, kufyagia, kujenga, etc🤷🏼♂️
Kuna sehemu umeona nawachukulia poa babu?Kuna bodaboda wengi tu wanalima pia,, hao vijana wana akili usiwachukulie poa
CCM hao bhanaHao bodaboda au CCM
Ahsante mkuu, huo ndio uzalendo wa kweli kwamba anafanya anachoona kwa wengne kinafaa..nazungumzia wanaotumia v-8 sasa hivi, lini wataziachia na kuanza kutumia bodaboda?
..kuthibitisha yuko na bodaboda Maza alitakiwa ashuke kwenye v-8 na kupanda bodaboda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema anatambua kundi la vijana waliojiajiri kupitia bodaboda na yuko tayari kwenda nao mpaka 2025. Rais Samia Suluhu alizungumza hayo aliposimama kuzungumza na wakazi wa Usa River wilaya ya Arumeru mkoani Arusha.
Vijana hao wa Bodaboda walionyesha kumuunga mkono Rais Samia na kusindikiza Msafara wake kuelekea Usa River kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi, baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Faragha wa Mawaziri, Naibu Mawaziri.
Aidha madereva bodaboda wamesisitiza kazi yao sio ya laana lakini pia wameishukuru serikali ya Rais Samia kwa kuendelea kuwapa mikopo inayowawezesha kuwekeza kwenye shughuli nyingine kama kilimo na biashara.
![]()
![]()