Rais Samia: Bodaboda ni watoto wangu nitakwenda nao 2025

Rais Samia: Bodaboda ni watoto wangu nitakwenda nao 2025

Kwahiyo Rais Samia yuko pamoja na Bodaboda wanaokufa kama inzi kila siku?
Kwanini wasikopeshwe daladala kwa vikundi?
 
Kumbe ni maafisa usafirishaji🙄🙄🙄🙄
FqdPZRCXgAEBpec.jpg
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema anatambua kundi la vijana waliojiajiri kupitia bodaboda na yuko tayari kwenda nao mpaka 2025. Rais Samia Suluhu alizungumza hayo aliposimama kuzungumza na wakazi wa Usa River wilaya ya Arumeru mkoani Arusha.

Vijana hao wa Bodaboda walionyesha kumuunga mkono Rais Samia na kusindikiza Msafara wake kuelekea Usa River kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi, baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Faragha wa Mawaziri, Naibu Mawaziri.

Aidha madereva bodaboda wamesisitiza kazi yao sio ya laana lakini pia wameishukuru serikali ya Rais Samia kwa kuendelea kuwapa mikopo inayowawezesha kuwekeza kwenye shughuli nyingine kama kilimo na biashara.

FqdPZRCXgAEBpec

Image
Acha wajichanganye kuhangaika na wanasiasa!!
 
Mkuu boda boda hazijaanzia huku mzee baba zipo mpaka ulaya yoote,china wana maendeleo na wako juu kuliko sisi ila wanatumia boda boda tena ya baiskeli na wala sio wnafanya mazoezi hapana ni ukosefu wa ajira na family zao zinakwenda MSALANI.
Wewe kama umebahatika kupata hiyo ajira hacha kudharau wenzio wanaume tunapambana huku mtaani na maisha yanaenda tu.
Vijana wa chadema mjifunze namna ya kuwa mnawakilisha hoja zenu vinginevyo mtaishiwa kudanganywa na ccm na nyie mtanasa mitegoni kwao
(Angalia hii LEMA anayeishi nje ya nchi analipwa pesa ya ukimbizi kaja anasema Boda boda ni Laana..mwenye nchi anasema boda boda ni kazi na atawakumbatia mpaka 2025,na kinachofata hapo watapewa mikopo)2025 mnapoteza kura kwa hao maboda boda then mnarudi mtaani kusema hamtambui uchaguzi na mama hamumtambui pia.
Mnatumika na ccm Ili mzidi kuwa masikini
 
Asisahau na kuhudhuria misiba yao isiyopangiliwa (untimely deaths) kwa ajali na matatizo ya kifua kwa kuvuta vumbi na hewa yenye moshi wa magari.
 
Kauli mbovu mbovu kama hizi ndizo zilizoua kilimo, kuna baadhi ya wazazi huko nyuma waliona kilimo ni kama kazi ya laana matokeo yake kizazi na kizazi vijana hawapendi kilimo, kama kuna mzazi hapendi mwanae afanye kazi yoyote halali yenye masilahi hakika mzazi huyo ni mpumbavu!
Kuna bodaboda wengi tu wanalima pia,, hao vijana wana akili usiwachukulie poa
 
..kuna waendesha bodaboda na wamiliki wa bodaboda.

..vijana waendesha bodaboda wana hali ngumu ya kipato, afya zao zinaathirika, na serikali haifanyi jitihada zozote kuwakwamua.
Serikali unataka iwabebe mgongoni ndo ujue inajitahidi kuwakwamua?,, Mikopo inatoka kila siku,, hivi mababu zetu wangekua wanakaa tu mapangoni na kulaumu watawala wao hii dunia ingeendelea kweli?,
Kuna kazi nyingi tu hazihitaji hata mtaji,,
Kulima, kupalilia, kukusanya mchanga na kuuza, kufyatua tofali na kuchoma kisha kuuza, kuponda kokoto, kukusanya chupa za plastic na kuuza viwandani, kufua nguo, kufyagia, kujenga, etc🤷🏼‍♂️
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema anatambua kundi la vijana waliojiajiri kupitia bodaboda na yuko tayari kwenda nao mpaka 2025. Rais Samia Suluhu alizungumza hayo aliposimama kuzungumza na wakazi wa Usa River wilaya ya Arumeru mkoani Arusha.

Vijana hao wa Bodaboda walionyesha kumuunga mkono Rais Samia na kusindikiza Msafara wake kuelekea Usa River kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi, baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Faragha wa Mawaziri, Naibu Mawaziri.

Aidha madereva bodaboda wamesisitiza kazi yao sio ya laana lakini pia wameishukuru serikali ya Rais Samia kwa kuendelea kuwapa mikopo inayowawezesha kuwekeza kwenye shughuli nyingine kama kilimo na biashara.

FqdPZRCXgAEBpec

Image
Mtoto gani wa Samia ni dereva wa bodaboda? Bodaboda ni mtaji wa wanasiasa
 
Serikali unataka iwabebe mgongoni ndo ujue inajitahidi kuwakwamua?,, Mikopo inatoka kila siku,, hivi mababu zetu wangekua wanakaa tu mapangoni na kulaumu watawala wao hii dunia ingeendelea kweli?,
Kuna kazi nyingi tu hazihitaji hata mtaji,,
Kulima, kupalilia, kukusanya mchanga na kuuza, kufyatua tofali na kuchoma kisha kuuza, kuponda kokoto, kukusanya chupa za plastic na kuuza viwandani, kufua nguo, kufyagia, kujenga, etc🤷🏼‍♂️

..kwani nchi ambazo hawana hili tatizo wanafanyaje?
 
..nazungumzia wanaotumia v-8 sasa hivi, lini wataziachia na kuanza kutumia bodaboda?

..kuthibitisha yuko na bodaboda Maza alitakiwa ashuke kwenye v-8 na kupanda bodaboda.
Ahsante mkuu, huo ndio uzalendo wa kweli kwamba anafanya anachoona kwa wengne kinafaa
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema anatambua kundi la vijana waliojiajiri kupitia bodaboda na yuko tayari kwenda nao mpaka 2025. Rais Samia Suluhu alizungumza hayo aliposimama kuzungumza na wakazi wa Usa River wilaya ya Arumeru mkoani Arusha.

Vijana hao wa Bodaboda walionyesha kumuunga mkono Rais Samia na kusindikiza Msafara wake kuelekea Usa River kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi, baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Faragha wa Mawaziri, Naibu Mawaziri.

Aidha madereva bodaboda wamesisitiza kazi yao sio ya laana lakini pia wameishukuru serikali ya Rais Samia kwa kuendelea kuwapa mikopo inayowawezesha kuwekeza kwenye shughuli nyingine kama kilimo na biashara.

FqdPZRCXgAEBpec

Image
 
Back
Top Bottom