Kwenye maisha jitahidi sana usitafute huruma za watu.
Bodaboda wapige kazi tu, ule ni mtazamo wa mtu mmoja na siyo watu wote. Nina uhakika familia zinazonufaika kupitia ajira ya bodaboda zina mtazamo chanya na tofauti.
Bodaboda waache kutafuta huruma kwa Rais maana hakuna atakachofanya kitaongeza mapato kwenye biashara yao zaidi watatumika kisiasa tu.
..kuna waendesha bodaboda na wamiliki wa bodaboda.
..vijana waendesha bodaboda wana hali ngumu ya kipato, afya zao zinaathirika, na serikali haifanyi jitihada zozote kuwakwamua.