King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,399
- 2,110
Kauli mbovu mbovu kama hizi ndizo zilizoua kilimo, kuna baadhi ya wazazi huko nyuma waliona kilimo ni kama kazi ya laana matokeo yake kizazi na kizazi vijana hawapendi kilimo, kama kuna mzazi hapendi mwanae afanye kazi yoyote halali yenye masilahi hakika mzazi huyo ni mpumbavu!Hamna anae penda mtoto wake awe dereva wa boda boda, achani kumanipulate hao watu kwasbb ya political capital.....mtafutie wstoto wa wenzetu ajira za maana.
Uvccm wanahangaika kama kuku aliyekatwa kichwa,neno moja tu la Lemma wote wamechafukwa.Mabodaboda wako organized kihasi hiki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
What a scene
Watendaji vijiji na kata wamepewa boda kama usafiri kufika vijijini pasipofikika magari...yuko nao kivipi?
..Je, amewahi kutumia usafiri wa bodaboda?
..Je, serikali yake itaacha ma-V8 na kuanza kutumia bodaboda.
π€£π€£π€£ Yani unafananisha bodaboda na kilimo??Kauli mbovu mbovu kama hizi ndizo zilizoua kilimo, kuna baadhi ya wazazi huko nyuma waliona kilimo ni kama kazi ya laana matokeo yake kizazi na kizazi vijana hawapendi kilimo, kama kuna mzazi hapendi mwanae afanye kazi yoyote halali yenye masilahi hakika mzazi huyo ni mpumbavu!
Kwani mko wangapi ?Samia umetubariki Sana boda boda 2025 Kura zetu zote ni kwako
Cheap politics, yajayo yanachekesha.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema anatambua kundi la vijana waliojiajiri kupitia bodaboda na yuko tayari kwenda nao mpaka 2025. Rais Samia Suluhu alizungumza hayo aliposimama kuzungumza na wakazi wa Usa River wilaya ya Arumeru mkoani Arusha.
Vijana hao wa Bodaboda walionyesha kumuunga mkono Rais Samia na kusindikiza Msafara wake kuelekea Usa River kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi, baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Faragha wa Mawaziri, Naibu Mawaziri. Aidha bodaboda .
Madereva bodaboda wamesisitiza kazi yao sio ya laana lakini pia wameishukuru serikali ya Rais Samia kwa kuendelea kuwapa mikopo inayowawezesha kuwekeza kwenye shughuli nyingine kama kilimo na biashara.
Fungua kiwanda wewe uwe unalipa vibarua laki moja Kwa siku.Mo boss wako anawAlipa Vibaru elf tatu that way unafurahia suffering of others
Nenda nbs utapata takwimu za uhakikaKwani mko wangapi ?
Watendaji vijiji na kata wamepewa boda kama usafiri kufika vijijini pasipofikika magari.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema anatambua kundi la vijana waliojiajiri kupitia bodaboda na yuko tayari kwenda nao mpaka 2025. Rais Samia Suluhu alizungumza hayo aliposimama kuzungumza na wakazi wa Usa River wilaya ya Arumeru mkoani Arusha.
Vijana hao wa Bodaboda walionyesha kumuunga mkono Rais Samia na kusindikiza Msafara wake kuelekea Usa River kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi, baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Faragha wa Mawaziri, Naibu Mawaziri. Aidha bodaboda .
Madereva bodaboda wamesisitiza kazi yao sio ya laana lakini pia wameishukuru serikali ya Rais Samia kwa kuendelea kuwapa mikopo inayowawezesha kuwekeza kwenye shughuli nyingine kama kilimo na biashara.
Akipanda watamwangusha, petrol Ina madhara makubwa kwenye UBONGO wa mwanadamu,..nazungumzia wanaotumia v-8 sasa hivi, lini wataziachia na kuanza kutumia bodaboda?
..kuthibitisha yuko na bodaboda Maza alitakiwa ashuke kwenye v-8 na kupanda bodaboda.
Sio kilimo tu na shuhuli zingine halali zinazochangia vipato Kwa watu, babu Yako Yule mkimbizi wa mchongo hata tunaosajili laini katupiga na kitu kizito kichwani eti na sie tumelaaniwaπ€£π€£π€£ Yani unafananisha bodaboda na kilimo??
Hoja ya lema ilikuwa nzuri,ila uasilishaji wake haukuwa mzuri kabisa.Mimi sio CCM ila nina akili ya kusema boda ni informal employment. Inasaidia watu kujikimu katika umasikini wao. Huwezi kuita laana.
Alitakiwa kuchunga ulimi wake akajenga hoja kwa tahadhari kubwa. Sasa yeye kasema ni laana? Laaana?!!!!
Nakubaliana na weweHoja ya lema ilikuwa nzuri,ila uasilishaji wake haukuwa mzuri kabisa.
Labda Kisiwandui kule2025 atakwenda nao wapi?
πππ yani unaona kuendesha bodaboda ni sawa na kufanya kilimo ???Sio kilimo tu na shuhuli zingine halali zinazochangia vipato Kwa watu, babu Yako Yule mkimbizi wa mchongo hata tunaosajili laini katupiga na kitu kizito kichwani eti na sie tumelaaniwa
Sio anaropoka kawashika pabaya.mpaka Rais anafanya hivyo ujue kauli yake imetikisa sanaLema atumie akili kujenga hoja kisiasa, sio kuropoka. Watu wameshachukua point 3 muhimu hapo. Hii ni siasa