chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
CCM ni chama chama wakulima na wafanyakazi, lazima kiwasemee watu hawa. Ni wapiga kura wake.
Katika pitapita zangu mitaani, ni hofu imetanda miongoni mwa watumishi wa umma.
Watumishi wa umma wamewekewa mfumo wa kutathmini kazi zao, na wanatakiwa wajaze taarifa zao humo.
Kwa mujibu wa watumishi walio wengi, mtandao huo haupatikani kabisa, na watumishi wanatishiwa kutolipwa mishahara kwa uzembe ambao hawahusiki.
Chama cha Mapinduzi kiwasemee watumishi hawa, mfumo usimame mpaka pale serikali itakapotatua tatizo la mtandao.
Nchimbi, Katibu Mkuu, usikubali chama kilaumiwe kwa jambo ambalo walioliandaa hawakuwa makini. Toa kauli kesho nchi nzima ijae shangwe.
Katika pitapita zangu mitaani, ni hofu imetanda miongoni mwa watumishi wa umma.
Watumishi wa umma wamewekewa mfumo wa kutathmini kazi zao, na wanatakiwa wajaze taarifa zao humo.
Kwa mujibu wa watumishi walio wengi, mtandao huo haupatikani kabisa, na watumishi wanatishiwa kutolipwa mishahara kwa uzembe ambao hawahusiki.
Chama cha Mapinduzi kiwasemee watumishi hawa, mfumo usimame mpaka pale serikali itakapotatua tatizo la mtandao.
Nchimbi, Katibu Mkuu, usikubali chama kilaumiwe kwa jambo ambalo walioliandaa hawakuwa makini. Toa kauli kesho nchi nzima ijae shangwe.