Rais Samia CCM watoe amri mfumo wa PEPMIS usimame kwanza mpaka pale mtandao wao utakapokuwa na nguvu

Rais Samia CCM watoe amri mfumo wa PEPMIS usimame kwanza mpaka pale mtandao wao utakapokuwa na nguvu

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
CCM ni chama chama wakulima na wafanyakazi, lazima kiwasemee watu hawa. Ni wapiga kura wake.

Katika pitapita zangu mitaani, ni hofu imetanda miongoni mwa watumishi wa umma.

Watumishi wa umma wamewekewa mfumo wa kutathmini kazi zao, na wanatakiwa wajaze taarifa zao humo.

Kwa mujibu wa watumishi walio wengi, mtandao huo haupatikani kabisa, na watumishi wanatishiwa kutolipwa mishahara kwa uzembe ambao hawahusiki.

Chama cha Mapinduzi kiwasemee watumishi hawa, mfumo usimame mpaka pale serikali itakapotatua tatizo la mtandao.

Nchimbi, Katibu Mkuu, usikubali chama kilaumiwe kwa jambo ambalo walioliandaa hawakuwa makini. Toa kauli kesho nchi nzima ijae shangwe.
 
Watakwambia Maendeleo hayana Chama. Kiufupi serikali Ina mifumo mingi isiyo na tija na isiyofanya kazi. Naonaga ni miradi ya wajanja wachache kupiga hela za kuanzisha mifumo isiyo na tija.

Watumishi hasa walimu wana ESS ambayo ndani yake una PEPMIS, wana mfumo wa TSCMIS, mifumo yote miwili naona kama ina lengo moja.


Ni Upigaji mtupu.
 
Jana siku ya Alhamis nikiwa Daresalaam, internet full of charge ilinichukua masaa manne hadi kufanikiwa kuufungua.
Ulichosema ni kweli tupu.

Ila nimegundua ukiufungua Jumatatu, Jumanne na Jumatano unafunguka kiurahisi.
Ila sio Alhamis.
Wahusika fanyieni kazi hii changamoto.
Hii ni Daresalama, sijawauliza jamaa zangu wa Mpitimbi.
 
Watakwambia Maendeleo hayana Chama. Kiufupi serikali Ina mifumo mingi isiyo na tija na isiyofanya kazi. Naonaga ni miradi ya wajanja wachache kupiga hela za kuanzisha mifumo isiyo na tija...
Halafu walitakiwa kuwa na pilot study ya taasisi moja moja au baadhi, kuliko kuqnza kwa wakati mmoja
 
CCM ni chama chama wakulima na wafanyakazi, lazima kiwasemee watu hawa. Ni wapiga kura wake...
Serikali ina viongozi vilaza sana huko juu, wanaiga iga mambo ya kiteknolijia wakati haijawandaa watu wake kuishi ki teknolojia lakini pia wanaiga iga vitu bila kufanya tathimini ya aina ya watu wake pamoja na mazingira yao ya kazi yani wanalazimisha usasa kwa lazima katika jamii iliyo kuzwa kienyeji watawaonea watu wa watu tuu!

Haya ni madhara ya kuajiri watoto wa viongozi walio soma saint ,saint na mavyuo ya UK sijui USA huko halafu unawapa kuongoza wadanganyika hawa wa mchamba wima huko , matokeo yake kiongozi hajui uhalisia wa maisha halisi ya watu anao waongoza.

Sasa mtu umfungie mshahara kisa PEPMIS kweli!!? Wakati mtu kila siku yupo kazini mwezi mzima halafu ujira wa kazi yake ya msingi aliyo ajiriwa kwa mujibu wa mkatataba wake wa kazi usimlipe kisa mfumo ulio kurupuka kuuanzisha bila kuwaandaa vyema watumiaji wa huo mfumo ! Hizi bangi zilizoko huko TAMISEMI mungu mwenyewe anajua
 
Jana siku ya Alhamis nikiwa Daresalaam, internet full of charge ilinichukua masaa manne hadi kufanikiwa kuufungua.
Ulichosema ni kweli tupu.

Ila nimegundua ukiufungua Jumatatu, Jumanne na Jumatano unafunguka kiurahisi.
Ila sio Alhamis.
Wahusika fanyieni kazi hii changamoto.
Hii ni Daresalama, sijawauliza jamaa zangu wa Mpitimbi.
mPindimbi masasi 😂😂
 
Huu mfumo unapotezea watu muda wa kufanya kazi na kuongeza msongo wa mawazo, gharama za bando. Unasababisha watu wanaishi kwa hofu ya kutopandishwa madaraja au kukosa mshahara ilihali tatizo ni mtandao. Kazi moja kusubmit unatumia karibu nusu saa nzima
 
CCM ni chama chama wakulima na wafanyakazi, lazima kiwasemee watu hawa. Ni wapiga kura wake.

Katika pitapita zangu mitaani, ni hofu imetanda miongoni mwa watumishi wa umma.

Watumishi wa umma wamewekewa mfumo wa kutathmini kazi zao, na wanatakiwa wajaze taarifa zao humo.

Kwa mujibu wa watumishi walio wengi, mtandao huo haupatikani kabisa, na watumishi wanatishiwa kutolipwa mishahara kwa uzembe ambao hawahusiki.

Chama cha Mapinduzi kiwasemee watumishi hawa, mfumo usimame mpaka pale serikali itakapotatua tatizo la mtandao.

Nchimbi, Katibu Mkuu, usikubali chama kilaumiwe kwa jambo ambalo walioliandaa hawakuwa makini. Toa kauli kesho nchi nzima ijae shangwe.
Wapiga kura gani, ccm haitegemei kura kukaa madarakani, inategemea vyombo vya Dola vinavyoamini mishahara wanayolipwa ni hisani ya ccm.
 
Serikali ina viongozi vilaza sana huko juu, wanaiga iga mambo ya kiteknolijia wakati haijawandaa watu wake kuishi ki teknolojia lakini pia wanaiga iga vitu bila kufanya tathimini ya aina ya watu wake pamoja na mazingira yao ya kazi yani wanalazimisha usasa kwa lazima katika jamii iliyo kuzwa kienyeji watawaonea watu wa watu tuu!

Haya ni madhara ya kuajiri watoto wa viongozi walio soma saint ,saint na mavyuo ya UK sijui USA huko halafu unawapa kuongoza wadanganyika hawa wa mchamba wima huko , matokeo yake kiongozi hajui uhalisia wa maisha halisi ya watu anao waongoza.

Sasa mtu umfungie mshahara kisa PEPMIS kweli!!? Wakati mtu kila siku yupo kazini mwezi mzima halafu ujira wa kazi yake ya msingi aliyo ajiriwa kwa mujibu wa mkatataba wake wa kazi usimlipe kisa mfumo ulio kurupuka kuuanzisha bila kuwaandaa vyema watumiaji wa huo mfumo ! Hizi bangi zilizoko huko TAMISEMI mungu mwenyewe anajua
Dah yaani umeongea vizuri sana. Watu wanateseka kazini huko kutoa huduma, halafu unaingiza kitu cha kuwatia hofu tu bila maandalizi.
 
CCM ni chama chama wakulima na wafanyakazi, lazima kiwasemee watu hawa. Ni wapiga kura wake.

Katika pitapita zangu mitaani, ni hofu imetanda miongoni mwa watumishi wa umma.

Watumishi wa umma wamewekewa mfumo wa kutathmini kazi zao, na wanatakiwa wajaze taarifa zao humo.

Kwa mujibu wa watumishi walio wengi, mtandao huo haupatikani kabisa, na watumishi wanatishiwa kutolipwa mishahara kwa uzembe ambao hawahusiki.

Chama cha Mapinduzi kiwasemee watumishi hawa, mfumo usimame mpaka pale serikali itakapotatua tatizo la mtandao.

Nchimbi, Katibu Mkuu, usikubali chama kilaumiwe kwa jambo ambalo walioliandaa hawakuwa makini. Toa kauli kesho nchi nzima ijae shangwe.
Huu mfumo ni shida inahitaji watetezi. Watumishi wakisema wanaambiwa wazembe. Sasa hivi wanatishia hawampandishi mtu daraja bila PEPMIS. Cha ajabu kuna taasisi au wizara zimeelekezwa haya mambo katka nusu mwaka. Na maelekezo wala hayalingani, leo jaza hivi, baada ya mwezi hivi. Dah kuna kazi kwenye utumishi wa Uma.
 
CCM ni chama chama wakulima na wafanyakazi, lazima kiwasemee watu hawa. Ni wapiga kura wake.

Katika pitapita zangu mitaani, ni hofu imetanda miongoni mwa watumishi wa umma.

Watumishi wa umma wamewekewa mfumo wa kutathmini kazi zao, na wanatakiwa wajaze taarifa zao humo.

Kwa mujibu wa watumishi walio wengi, mtandao huo haupatikani kabisa, na watumishi wanatishiwa kutolipwa mishahara kwa uzembe ambao hawahusiki.

Chama cha Mapinduzi kiwasemee watumishi hawa, mfumo usimame mpaka pale serikali itakapotatua tatizo la mtandao.

Nchimbi, Katibu Mkuu, usikubali chama kilaumiwe kwa jambo ambalo walioliandaa hawakuwa
CCM ni chama chama wakulima na wafanyakazi, lazima kiwasemee watu hawa. Ni wapiga kura wake.

Katika pitapita zangu mitaani, ni hofu imetanda miongoni mwa watumishi wa umma.

Watumishi wa umma wamewekewa mfumo wa kutathmini kazi zao, na wanatakiwa wajaze taarifa zao humo.

Kwa mujibu wa watumishi walio wengi, mtandao huo haupatikani kabisa, na watumishi wanatishiwa kutolipwa mishahara kwa uzembe ambao hawahusiki.

Chama cha Mapinduzi kiwasemee watumishi hawa, mfumo usimame mpaka pale serikali itakapotatua tatizo la mtandao.

Nchimbi, Katibu Mkuu, usikubali chama kilaumiwe kwa jambo ambalo walioliandaa hawakuwa makini. Toa kauli kesho nchi nzima ijae shangwe.
CCM ni chama chama wakulima na wafanyakazi, lazima kiwasemee watu hawa. Ni wapiga kura wake.

Katika pitapita zangu mitaani, ni hofu imetanda miongoni mwa watumishi wa umma.

Watumishi wa umma wamewekewa mfumo wa kutathmini kazi zao, na wanatakiwa wajaze taarifa zao humo.

Kwa mujibu wa watumishi walio wengi, mtandao huo haupatikani kabisa, na watumishi wanatishiwa kutolipwa mishahara kwa uzembe ambao hawahusiki.

Chama cha Mapinduzi kiwasemee watumishi hawa, mfumo usimame mpaka pale serikali itakapotatua tatizo la mtandao.

Nchimbi, Katibu Mkuu, usikubali chama kilaumiwe kwa jambo ambalo walioliandaa hawakuwa makini. Toa kauli kesho nchi nzima ijae shangwe.
CCM anatengeneza tatizo ili atatue na kuonekana anajari, kumbe tatizo lilikuwa frame for the sake of political interest, stukeni Watumishi
 
Huu mfumo ni shida inahitaji watetezi. Watumishi wakisema wanaambiwa wazembe. Sasa hivi wanatishia hawampandishi mtu daraja bila PEPMIS. Cha ajabu kuna taasisi au wizara zimeelekezwa haya mambo katka nusu mwaka. Na maelekezo wala hayalingani, leo jaza hivi, baada ya mwezi hivi. Dah kuna kazi kwenye utumishi wa Uma.
That is a delay tactic ambayo hutumiwa na watawala kumnyima mtumishi haki zake,ishu ya kupandishwa madaraja ni km haipo wanatafuta visingizio
 
CCM anatengeneza tatizo ili atatue na kuonekana anajari, kumbe tatizo lilikuwa frame for the sake of political interest, stukeni Watumishi
CCM ni chama cha wakulima na wafanyakazi, chama sikivu, soon utasikia tamko
 
Huu mfumo pasua kichwa..eti ndio utachochea utendaji kazini..wapiii.
 
Back
Top Bottom