Rais Samia: Demokrasia ni kuheshimu Sheria, heshima ya Mtu inakuja kwa kuheshimu Sheria za Nchi, ombi la Zitto kuhusu kesi ya Mbowe lajibiwa

Mtanganyika ni nani ?!!!

Mzee Mwinyi naye ni mtanganyika?!!!

Utanganyika ni nini?!!!

Utaficha lini ujinga wako mbele ya HADHIRA hai?!!!!
 
Kwa hiyo Mbowe yupo ndani kwa sababu kakosa "HESHIMA"?

Kamkosea heshima, hiyo ndiyo ikasababisha amuweke ndani? Kama siyo udikteta huo ni kitu gani!

Haya yote yana mwisho wake.
 
Maushungi hataki kupandwa kichwani kwa maneno ake ya Leo

Hakuna cha ugomvi zaidi shida ni msimamo wa dai la katiba mpya
 
Kwanza afuate sheria
Pili awe na heshima
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Hili ndilo rasmi iliyosababisha Mbowe akamatwe.
Ila awe na heshima! Ulaya viongozi hawawezi kuwatamkia walio chini yao kwani watu wote wanatakiwa kuiheshimu sheria.
 
Mwanamke sio wa kupanga naye deal
Atasahau tu na kuharibu
 
Mkuu Mshana salute mingi sana..Majibu TAYARI
 
Hivi wajua magufuli alikuwa na infiriority complex za kisukuma?ndizo alizo anzo Samia aise anamuhukumu Mbowe kisa heshima.
 
Kumbe ishu ni mtazamo....na si kwamba ni UHALISIA wa madai ya kilichotokea kumhusu ndugu Zitto Kabwe?!!!

Ok mkuu nauheshimu mtazamo wako....baki na mtazamo wako mkuu....

Mh.SSH yupo.....

I promise you hakuna KUNDI hasi litakalomhenyesha ndani ya CCM.....muda utaongea.......

#Siempre JMT
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo sukuma gang bado ina nguvu?

Si mlisema ni washamba na wamekomeshwa?
 
Wewe nae kiazi tu

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…