Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Mtanganyika ni nani ?!!!Bitozo mdini, mbona mashee wa uamsho aliwaachia huru?
Tatizo kuongozwa na mtu ambaye siyo mtanganyika litatutesa Sana
Mbona wao waliificha taarifa ya msiba wa magufuli mpaka akawa anakaribia kuoza ndio wanatupa taarifa za msiba nani kavunjiwa heshima taifa au wao kuficha msiba?
Mzee Mwinyi naye ni mtanganyika?!!!
Utanganyika ni nini?!!!
Utaficha lini ujinga wako mbele ya HADHIRA hai?!!!!