ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,326
- 8,505
Kugawana ni sawa, je pande zote za muungano zilichangia sawa kwa sawa hadi zigawanishwe nusu kwa nusu?Salaam
Makamu wa Rais Mteule, Dkt. Philip Isdor Mpango, amesmea kuwa, Rais Samia kaagiza fedha zilizotengwa kugharamia Sherehe za Muungano, amezibadilishia matumizi na kuagiza zigawanywe sawa kwa bara na Visiwani.
Pia kasema kila upande utajiamulia matumizi ya fedha hizo.