Rais Samia: Fedha ambazo zingegharamia Sherehe za miaka 57 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, zigawanywe sawa

Rais Samia: Fedha ambazo zingegharamia Sherehe za miaka 57 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, zigawanywe sawa

Kwa nini Watanganyika hawakusaidia kuunda jeshi la Zanzibar halafu waondoke wawaachie nchi yao?
Usipindishe historia.

Karume mwenyewe ndiye aliyeomba ulinzi kwa Nyerere tangu Mapinduzi ya Zanzibar, kwa sababu Zanzibar haikuwa na jeshi na Karume aliogopa Mapinduzi yatahujumiwa.
 
Ila kama Serikali haina mpango wa kuadhimisha Sherehe za Muungano, kwanini wanatenga bajeti yake kila mwaka?

Kwanini fedha hizo in a first place zisipangiwe shughuli za maendeleo badala ya kuja kuzibadilishia gia angani ilhali kuna vifungu vingi tu vya muhimu vinakosa bajeti katika wakati wa kupanga.
Bado gia nyingine itabadilishwa chini au ndani ya bahari. Hiyo hamna atakayejua wala kuhisi.
 
Una mfano wa kipumbavu sana


Chukua mfano huu: unabiashara ambayo unamiliki shares 95% Na partner mwenye 5% mnagawanaje 50% ?
Kama ni Milion unampa elfu 15[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hii ndio tafsiri halisi ya Jamhuri ya Muungano,kazi iendelee.
 
Huu upumbavu aliuanzisha Jiwe.

Wakati wanatenga hizo fedha walikuwa wamepungukiwa akili(vichaa)?

Ni vyema wangeifuta sherehe yenyewe isisomeke kwenye kalenda.
Wacha upuuzi, hujui hii ni awamu ya sita?
 
Labda niulize kuwa pesa za gharama za Muungano huwa zinatoka wapi au kwa utaratibu gani.

Pili, je Zanzibar kuna pesa ambayo wanachangia kwenye Muungano kusema sasa warudishiwe sehemu?...
Nafuu umeliona hili Mkuu
 
Mama kaanza vizuri; baadhi ya mambo yaliyofanya JPM awe kwenye mioyo ya watu ni maamuzi kama haya.
Sherehe za Uhuru na Muungano ni sherehe muhimu sana katika historia ya nchi yetu, na ni muhimu zitengewe budget.
Lakini matumizi ya hizo pesa inabidi yafanye kitu cha maana kitakachosaidia watu wengi badala ya kuliwa na wale wajanja wajanja wa mujini kwa kukodi vihema, vicocktail, kuweka mafuta mashangingi, n.k.
Mabango, T-shirts, vikofia na Scarf.
 
Hela yote inayokusanywa na TRA Zanzibar uwa haivuki bahari wakati ile inayokusanywa na TRA Bara inavuka bahari. Huu muungano una mambo ambayo tukiyachokonoa, nadhani tunaweza kuona umauti wa muungano huu.
Ya TRA inavuka bahari. Labda kama unasemea ZRB.

Na kuna wafanyabiashara wanalambwa kodi na TRA na ZRB kwa mpigo
 
Ila kama Serikali haina mpango wa kuadhimisha Sherehe za Muungano, kwanini wanatenga bajeti yake kila mwaka?

Kwanini fedha hizo in a first place zisipangiwe shughuli za maendeleo badala ya kuja kuzibadilishia gia angani ilhali kuna vifungu vingi tu vya muhimu vinakosa bajeti katika wakati wa kupanga.
ni sahihi kwa mujibu wa katiba JMT
 
Back
Top Bottom