Usipindishe historia.
Karume mwenyewe ndiye aliyeomba ulinzi kwa Nyerere tangu Mapinduzi ya Zanzibar, kwa sababu Zanzibar haikuwa na jeshi na Karume aliogopa Mapinduzi yatahujumiwa.
How much money are we talkin bout?
Bado gia nyingine itabadilishwa chini au ndani ya bahari. Hiyo hamna atakayejua wala kuhisi.Ila kama Serikali haina mpango wa kuadhimisha Sherehe za Muungano, kwanini wanatenga bajeti yake kila mwaka?
Kwanini fedha hizo in a first place zisipangiwe shughuli za maendeleo badala ya kuja kuzibadilishia gia angani ilhali kuna vifungu vingi tu vya muhimu vinakosa bajeti katika wakati wa kupanga.
Kama ni Milion unampa elfu 15[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Una mfano wa kipumbavu sana
Chukua mfano huu: unabiashara ambayo unamiliki shares 95% Na partner mwenye 5% mnagawanaje 50% ?
Ilianza bagamoyo ikaja chato mbona now mnawivu na wa zanzibarHuyu mama akiachwa ,asipodhibitiwa Zanzibar wanaweza kunufaika sana na utawala huu
Visiwani wapewe kwa sababu gani? Walihusika vipi kuzipata?
Hapo sasaVisiwani wapewe kwa sababu gani? Walihusika vipi kuzipata?
Kwenye hizo hela kuna kodi ya Wazanzibari?Safi sana.
Haiwezekani hela za sherehe za Muungano kila siku ziishie kujenga bara tu wakati nchi hii ni muungano wa nchi mbili
Wacha upuuzi, hujui hii ni awamu ya sita?Huu upumbavu aliuanzisha Jiwe.
Wakati wanatenga hizo fedha walikuwa wamepungukiwa akili(vichaa)?
Ni vyema wangeifuta sherehe yenyewe isisomeke kwenye kalenda.
Ni fedha zinazohusu maadhimisho ya sherehe ya Muuungano zimetolewa kwa pande mbili za Muungano.Visiwani wapewe kwa sababu gani? Walihusika vipi kuzipata?
Nafuu umeliona hili MkuuLabda niulize kuwa pesa za gharama za Muungano huwa zinatoka wapi au kwa utaratibu gani.
Pili, je Zanzibar kuna pesa ambayo wanachangia kwenye Muungano kusema sasa warudishiwe sehemu?...
Mabango, T-shirts, vikofia na Scarf.Mama kaanza vizuri; baadhi ya mambo yaliyofanya JPM awe kwenye mioyo ya watu ni maamuzi kama haya.
Sherehe za Uhuru na Muungano ni sherehe muhimu sana katika historia ya nchi yetu, na ni muhimu zitengewe budget.
Lakini matumizi ya hizo pesa inabidi yafanye kitu cha maana kitakachosaidia watu wengi badala ya kuliwa na wale wajanja wajanja wa mujini kwa kukodi vihema, vicocktail, kuweka mafuta mashangingi, n.k.
Ya TRA inavuka bahari. Labda kama unasemea ZRB.Hela yote inayokusanywa na TRA Zanzibar uwa haivuki bahari wakati ile inayokusanywa na TRA Bara inavuka bahari. Huu muungano una mambo ambayo tukiyachokonoa, nadhani tunaweza kuona umauti wa muungano huu.
Hujui kuwa Wapemba wengi wako Dar na ni walipa kodi wakubwa?Kwenye hizo hela kuna kodi ya Wazanzibari?
ni sahihi kwa mujibu wa katiba JMTIla kama Serikali haina mpango wa kuadhimisha Sherehe za Muungano, kwanini wanatenga bajeti yake kila mwaka?
Kwanini fedha hizo in a first place zisipangiwe shughuli za maendeleo badala ya kuja kuzibadilishia gia angani ilhali kuna vifungu vingi tu vya muhimu vinakosa bajeti katika wakati wa kupanga.
Na ajabu kila ataesimama kudai kuvuliwa kwa hili koti anapotezwa.Muulize Nyerere tunahusika vipi na Muungano, manaake sisi tulijua ni kama koti tu likikubana unalivua. Lakini kumbe umegeuka ngozi labda uichune ufe
Sasa kumbe mapambano yanaendelea unacholalamikia hapa kitu gani?Mapambano yanaendelea