Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,920
Km mkoa wa pwani na chato walikua wanagawana robo inaenda mkoa wa pwani na nusu inaenda chato sidhan km ni kosa bara na visiwan kwenda pasupasuNimekuwa nikifuatilia, naona Kuna mgawanyo nusu kwa nusu, meli 8, Tanganyika 4 na Zanzibar 8,Hela za sherehe za muungano zitagawanywa Tanganyika nusu na nusu nyingine Zanzibar.Kwa mantiki hiyo hata misaada serikali ya Tanzania itagawanywa nusu kwa nusu. Hadi miaka 10 ya kipindi chake Zanzibar itakuwa kama Dubai.
Kumbuka ni awamu ya sita na huyo hayati unayemtaja unateseka bure awezi kurudi na safari yetu sote ila yeye katangulia tu.Mpuuzi mwenzenu Jiwe( R.I.H) alivyofanya upuuzi kama huu kwa mara ya kwanza mkamshangilia. Cha ajabu next year akiwa yeye ndiye Rais akapitisha tena bajeti kwaajili ya sherehe kama ileile nanyi mkamshangilia tena.
Akafanya sherehe. Mwaka mwingine akapitisha tena pesa kwaajili ya sherehe fulani mkamshangilia akatengua na kupeleka pesa kwenye miradi mkamshangilia.
Nyie wajinga hamjui mnalolitaka au msilolitaka.
Binafsi sijawahi kuona kama Zanzibar ina tija yoyote ile kwa Tanganyika! Hivyo hata siku wakitaka kujitenga, wajitenge tu.Muda ufike tuidai Tanganyika yetu
Serikali ya muungano ndiyo inayogharamia muungano kwa kodi yetu, wengine wanashiriki tu na ndio maana suala la muungano lipo kwa makamu wa rais, iweje hiyo hela igawanywe nusu kwa nusu wakati ni ya Bara?Msingi wa kugawana nusu kwa nusu ni kama hiyo pesa mmeipambania wote.
Now kodi siyo swala la muungano.
Hivyo hii pesa kama imetoka Znz pekee au Bara pekee ni pesa ya aliyeitoa kwakua kaitafuta chini ya kipengele ambacho hakipo chini ya muungano.
Hivyo kushare ni sawa na kusema kuna upande umnyonye mwingine.
Zanzibar ni nchi kamili usisahau hilo bwashee!Nimekuwa nikifuatilia, naona Kuna mgawanyo nusu kwa nusu, meli 8, Tanganyika 4 na Zanzibar 8,Hela za sherehe za muungano zitagawanywa Tanganyika nusu na nusu nyingine Zanzibar.Kwa mantiki hiyo hata misaada serikali ya Tanzania itagawanywa nusu kwa nusu. Hadi miaka 10 ya kipindi chake Zanzibar itakuwa kama Dubai.
Bora na Chato naweza kwenda kununua kiwanja,Zanzibar siwez mtu WA Bara hawaruhusu kununua kiwanja, ila wao wanaruhusiwa. Daaah ila sisi wabara chini ya CCM wametuzidi akili.Km mkoa wa pwani na chato walikua wanagawana robo inaenda mkoa wa pwani na nusu inaenda chato sidhan km ni kosa bara na visiwan kwenda pasupasu
Chief naona umeandika nilichoandika.Serikali ya muungano ndiyo inayogharamia muungano kwa kodi yetu, wengine wanashiriki tu na ndio maana suala la muungano lipo kwa makamu wa rais, iweje hiyo hela igawanywe nusu kwa nusu wakati ni ya Bara?
Ulishawah kufika zenji???Bora na Chato naweza kwenda kununua kiwanja,Zanzibar siwez mtu WA Bara hawaruhusu kununua kiwanja, ila wao wanaruhusiwa. Daaah ila sisi wabara chini ya CCM wametuzidi akili.
Serikali ya muungano au serikali ya Tanganyika ndio inagharamia?Serikali ya muungano ndiyo inayogharamia muungano kwa kodi yetu, wengine wanashiriki tu na ndio maana suala la muungano lipo kwa makamu wa rais, iweje hiyo hela igawanywe nusu kwa nusu wakati ni ya Bara?
Chato ya Zanzibar 🤣Nimekuwa nikifuatilia, naona Kuna mgawanyo nusu kwa nusu, meli 8, Tanganyika 4 na Zanzibar 8,Hela za sherehe za muungano zitagawanywa Tanganyika nusu na nusu nyingine Zanzibar.Kwa mantiki hiyo hata misaada serikali ya Tanzania itagawanywa nusu kwa nusu. Hadi miaka 10 ya kipindi chake Zanzibar itakuwa kama Dubai.
Kama tunakubaliana kuwa Zanzibar ni nchi, basi na tuelewe kuwa hakuna nchi nusu. Rwanda ina raia milioni 10, Nigeria ina raia zaidi ya milioni 100, lakini zote Rwanda na Nigeria zina kura moja katika AU, UN na kwingineko ambako kura zinahusika.Nimekuwa nikifuatilia, naona Kuna mgawanyo nusu kwa nusu, meli 8, Tanganyika 4 na Zanzibar 8,Hela za sherehe za muungano zitagawanywa Tanganyika nusu na nusu nyingine Zanzibar.Kwa mantiki hiyo hata misaada serikali ya Tanzania itagawanywa nusu kwa nusu. Hadi miaka 10 ya kipindi chake Zanzibar itakuwa kama Dubai.