CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Yeye alikuwa RAIS wakati huo?Kwanini hakushauri fedha hizi zisiwekwe kwenye hiyo budget mapema?...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye alikuwa RAIS wakati huo?Kwanini hakushauri fedha hizi zisiwekwe kwenye hiyo budget mapema?...
Nani amekudanganya hiloTRA haihusiki kabisa kule Zanzibar.
Zanzibar wanna taasisi yao ya kukusanya mapato
Mapambano yanaendeleaSasa kama ndivyo ilivofanyika hivi sasa mnashindwa nini kurekebisha si mnajitambuwa kwa sasa? Tuseme wakati huo mlidanganywa kutokana na ujinga.
Usipindishe historia.Brexit ya nini mkuu fuatilia kifo cha sheikh Abeid Amani Karume Rais wa Kwanza wa Zanzibar kwanini alipigwa risasi, mchonga meno alitumia ujanja kumshawishi karume aungane na Tanganyika...
Aisee unaishi nchi gani? Zanzibar wanakusanya kodi 2, kodi 1 inaitwa ZRB hii kwa maendeleo ya Zanzibar lakini TRA kule Zanzibar wanakusanya kodi zinapelekwa Tanganyika kwa ajili ya maendeleo yenu.,TRA haihusiki kabisa kule Zanzibar.
Zanzibar wanna taasisi yao ya kukusanya mapato
Ungejibu swali kwanini sheikh Abeid Aman Karume alipigwa risasi? Nyerere ndio alimshawishi karume kuhusu ulinzi lakini hamtaki kuachia mnangangania mumeitawala ZanziabrUsipindishe historia.
Karume mwenyewe ndiye aliyeomba ulinzi kwa Nyerere tangu Mapinduzi ya Zanzibar, kwa sababu Zanzibar haikuwa na jeshi na Karume aliogopa Mapinduzi yatahujumiwa.
50-50Napata shaka juu ya Akili yako kama iko sawasawa. Rudia uandikacho
Kwahiyo wewe hujui kuwa wizara ya mazingira na mambo yahusuyo muungano yako chini ya Makamu wa Rais?Yeye alikuwa RAIS wakati huo?
TRA ipo Zanzibar na inakusanya kodiTRA haihusiki kabisa kule Zanzibar.
Zanzibar wanna taasisi yao ya kukusanya mapato
Bado sielewi Zanzibar wapewe hizi pesa kwa utaratibu upi? Zilipatikana kwa utaratibu upi? Zanzibar wana Mamlaka yao ya kodi. Wanakusanya wanatumia kwao. Kwa nini kodi zetu nao wapewe?
Mamlaka iliyopewa dhamana ya ukusanyaji wa kodi Tanzania nzima ipo Tanzania nzima.oohh vizur, hiv makusanyo ya kodi kutoka zanzibar yanaingia kwenye muungano?
Karume alikuwa dikteta aliyeua watu wengi, na watu wengi walikuwa na visasi naye binafsi.Ungejibu swali kwanini sheikh Abeid Aman Karume alipigwa risasi? Nyerere ndio alimshawishi karume kuhusu ulinzi lakini hamtaki kuachia mnangangania mumeitawala Zanziabr
Kusema ukweli hili ni jambo la kipumbavu na la kipuuzi kuwahi kufanyika na serikali......ni waTanzania wachache sana wanaowaza kwa upana kama hivi.....ubarikiwe.......Ila kama Serikali haina mpango wa kuadhimisha Sherehe za Muungano, kwanini wanatenga bajeti yake kila mwaka?
Kwanini fedha hizo in a first place zisipangiwe shughuli za maendeleo badala ya kuja kuzibadilishia gia angani ilhali kuna vifungu vingi tu vya muhimu vinakosa bajeti katika wakati wa kupanga.
Rais yupo sahihi. Ni hela ya Tanzania na sio Tanganyika. Tanganyika haina Tanganyika Revenue Authority. Ni hela iliyokusanywa na Tanzania Revenue Authority ambayo baadhi ya mapato yanatokea Zanzibar.
Ni mpaka Tanganyika iwe na institutions zake ndio inaweza claim kitu flani ni chake! So far, we shut up
TRA ipo Zanzibar na inakusanya kodi
Ukipata muda uwe unapitia kwenye katiba uisome, katika orodha ya mambo ya Muungano. Na ukipata nafasi pia nenda Zanzibar sio mbali uende kwenye ofisi zao za TRA kula ukawaulizie vizuri.
View attachment 1764826
Mil1 haiwez kuwa sawa na mil 60?Mamlaka iliyopewa dhamana ya ukusanyaji wa kodi Tanzania nzima ipo Tanzania nzima.
Hii km chato tu...... Kaeni kwa kutuliaVisiwani wapewe kwa sababu gani? Walihusika vipi kuzipata?