Rais Samia hapa ulikosea kidogo na sijui ni nani alikujaza Upepo na ukalisema hili

Rais hana Elimu ya uraia wala diplomasia sifuri tu.
 
Je, waliomuua Mzee Kibao Waafrika na Watanzania wenzetu na wale Waafrika Viongozi Mafisadi ndani ya Tanzania (Serikalini) Wao wana Uchungu kama ambavyo umesema hapa kuwa Wazungu hawana Uchungu na Sisi Waafrika?

Hovyoooooooo........!!
 
Sasa kama Tanzania ni Sovereign State inakuwaje Kutwa tu inatembeza Bakuli kwa hawa hawa Wakubwa (Marekani) ikiwemo Kuwaomba Misaada mbalimbali? Kwanini kwakuwa tayari ina Jeuri ya kuwa Sovereign State basi isijitegemee yenyewe kwa kila Kitu?

Nikiwa nawaambia Kutwa hapa JamiiForums kuwa 99.999% ya Chawa (Watetezi) wa Rais Samia hamna Akili (poor thinkers) msiwe mnabisha au mnakataa sawa?
 
rais wetu ana mesemo yake ukiitafakari unaweza kumdhania kama ana dharau flani hivi
Siyo kama ana Dharau bali ana Dharau halafu hakuna ambacho anakijua. Hivi unaweza kweli Kuwaambia Mabalozi wa nchi kuwa huwaamini wakisemacho na kwamba utawauliza Marais wa nchi zao walikotoka?

Halafu tukisema kwa sasa hatuna Mtu sahihi kama nchi badala ya Kutuelewa wenye Akili na Upeo wa mbali wanaanza Kutuchukia na hata kutukalia Vikao vya Kututeta na Kutuwahisha anakotupeleka Israeli Mtoa Roho akitutwaa.
 
Huna Akili.
 
Mkuu umemg'oa mtu jino bila ganzi 😛
 
Amiri Jeshi Mkuu kesha ongea,kilichobaki ni utekelezaji tu hakuna tena mjadala!!
 
Kuomba msaada haimaanishi huna tena sovereignty .
 
Achaa uwoga,sisi ni taifa huru na ni kweli hatupangiwi na beberu mambo yetu kama Nchi!!
 
Ila mlikuwa mnamnanga samia kuwa ni Rais lelemama, kwamba magufuli alikuwa kidume anawakemea mabeberu,

Sasa Samia anaendesha nchi vile alivyokuwa anaendesha magufuli tunaanza kumlaumu
Anawakemea mabeberu wanaolaani mauaji ya raia wake?

Msimamo wa utetezi huu ni nini na msimamo wa raia wanaotetewa ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…