Rais Samia Hassan awasili Doha, Qatar maonesho ya kilimo expo 2023

Rais Samia Hassan awasili Doha, Qatar maonesho ya kilimo expo 2023

Uwekezaji ni muhimu ila matatizo yaliyopo nchini ni muhimu zaidi kushughulikiwa mapema.

MY NOTE: Mama arudi apambanie matatizo kama umeme Kwanzaa hakuna mwekezaji atakaefanya kazi pasipo umeme wa uhakika
 
Ameena kutembea kwao Kwani hujui kuwa samia Waarabu ni wajomba zake...

Nanukuu

"mnamo Oktoba 18, 2017, wakati Waziri wa Mafuta na Gesi wa Oman, Dk. Mohammed Hamad Al Rumhy alipotembelea Tanzania, Rais Magufuli alimtaja Makamu wa Rais Samia kuwa na wajomba wanaoishi Oman. Katika video hiyo, Rais Magufuli alisema: "Nilimtuma jana Makamu wa Rais kwenda kuniwakilisha kule. Na bahati nzuri Makamu wa Rais wajomba zake wapo Oman. Kwahiyo alikuwa nyumbani…"

Dokezo hilo la Rais Magufuli halikufunga mjadala wa uhusiano wa Samia na Oman. Mnamo tarehe 20 Machi 2021, tovuti ya gazeti la The National la nchini Oman lilichapisha makala iliyohusu uhusiano wa Rais Samia na nchi hiyo. Makala hiyo yenye kichwa cha habari "Historia ya Pamoja: Wananchi wa Oman Wafurahia Samia Suluhu Hassan Kuwa Rais wa Tanzania" ilieleza kuwa kiongozi huyo ana uhusiano na Oman kupitia babu yake wa upande wa baba, ambaye alizaliwa katika mji wa Al Mudhaibi, nchini humo.....

Mwisho wa nukuu.......
 
Ameena kutembea kwao Kwani hujui kuwa samia Waarabu ni wajomba zake...

Nanukuu

"mnamo Oktoba 18, 2017, wakati Waziri wa Mafuta na Gesi wa Oman, Dk. Mohammed Hamad Al Rumhy alipotembelea Tanzania, Rais Magufuli alimtaja Makamu wa Rais Samia kuwa na wajomba wanaoishi Oman. Katika video hiyo, Rais Magufuli alisema: "Nilimtuma jana Makamu wa Rais kwenda kuniwakilisha kule. Na bahati nzuri Makamu wa Rais wajomba zake wapo Oman. Kwahiyo alikuwa nyumbani…"

Dokezo hilo la Rais Magufuli halikufunga mjadala wa uhusiano wa Samia na Oman. Mnamo tarehe 20 Machi 2021, tovuti ya gazeti la The National la nchini Oman lilichapisha makala iliyohusu uhusiano wa Rais Samia na nchi hiyo. Makala hiyo yenye kichwa cha habari "Historia ya Pamoja: Wananchi wa Oman Wafurahia Samia Suluhu Hassan Kuwa Rais wa Tanzania" ilieleza kuwa kiongozi huyo ana uhusiano na Oman kupitia babu yake wa upande wa baba, ambaye alizaliwa katika mji wa Al Mudhaibi, nchini humo.....

Mwisho wa nukuu.......
Sasa si atawauzia wanyama wote wa Ngorongoro
 
Uwekezaji ni muhimu ila matatizo yaliyopo nchini ni muhimu zaidi kushughulikiwa mapema.

MY NOTE: Mama arudi apambanie matatizo kama umeme Kwanzaa hakuna mwekezaji atakaefanya kazi pasipo umeme wa uhakika
Labda ndio anatafuta wawekezaji wa umeme
 
Back
Top Bottom